Polepole apuuzwe kuhusu gesi

We ndo kilaza umeharibu kabisa amekwambia unauzwa 2000 Tanzania shilling na sio hela ya quba..mataqo yako wewe na mtoa Uzi wote vilaza
 
Apuuzwe na nani sasa? Mpuuze wewe tu utembee, usipangie watu hisia zao kijana
 
Kulinganisha umeme ilikuwa 27,000TZS tu.
Sasa 300,000 na kitu.
Lengo umeme utumike zaidi. Msikilize vizuri utamuelewa.
Ulio kuwa unaunganishwa kwa 27000 ni umeme wa REA tu ambao hasa ni mahususi kwa ajili ya vijijini na mpaka sasa ndo bei.

Na huo mradi wa REA ulibuniwa na kikwete na sio magufuri.
 
Tanzania ni socialist ideology , mpaka sahizi ulivyoandika uharo wako huo........

au twambie ni lini tumekuwa wabebari au uchumi mchanganyiko

Safi
 
Ulio kuwa unaunganishwa kwa 27000 ni umeme wa REA ambao hasa ni hususi kwa ajili ya vijijini na mpaka sasa ndo bei.

Na huo mradi wa REA ulibuniwa na kikwete na sio magufuri.
Hadi DSM watu walilipa hiyo 27000 kabla Samia na Januari hawafuta.
 
Vichwa maboga kama hivi ndivyo vinasababisha tupuuzwe na Wakenya! Kichwa chako mkuu kimehifadhi makamasi wala siyo ubongo.
 
Hadi DSM watu walilipa hiyo 27000 kabla Samia na Januari hawafuta.
Acha upotoshaji mradi wa REA ulianzishwa na kikwete kwa lengo la kuwawezesha wanachi wa vijijini kupata umeme lakini mradi huu watu wa watu wa mijini ulikuwa hauwahusu.
Baada ya samia kuingia madarakani yeye ndo aliye tangaza kuwa bei ya kuunganishia umeme iwe 27000 nchi nzima bila kujali ni REA au umeme wa kawaida lakini baada ya mwaka waliifuta na kurudisha utaratibu wa zamani.
 
Vichwa maboga kama hivi ndivyo vinasababisha tupuuzwe na Wakenya! Kichwa chako mkuu kimehifadhi makamasi wala siyo ubongo.
Hao wakenya wanao tupuuza bei ya gesi ni mara mbili ya kwetu.
 
Ona hili nalo?
 
Naona hii wiki ID mpya ni nyingi, na zote zimekuja na agenda moja😊😊
 
Lete maneno kutoka msoga
 

Attachments

  • 9b5ae12b9f4f4b91a8e9ffc844fb58d0.mp4
    223.4 KB
Samia alitekeleza mipango iliyopo na akaifuta.
 
27,000 kuunga umeme.
Hivi ww jamaa uko sawa kweli nisiwe najadiliana na kichaa hapa ?
Yaani maelezo nililo yatoa hujanielewa hata kidogo?
Nime kwambia kuwa kipindi chote cha Magufuri hakuna sememu ya mjini ambayo watu walikuwa wanaunganishwa kwa 27000, mpango wa kuunganishwa kwa 27000 kwa watu wote bila kujali ni REA au sio REA ulianzishwa na samia nwenyewe mwaka 2022 na wakaufuta tena 2023 kwa sababu mpango huo ulianzishwa kisiasa na sio kitaalamu.
 
Wewe unaona sawa kuuziwa mtungi wa gesi 55,000 ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…