Polepole aisee Pole sana

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
Nimefatilia hotuba yako Leo,
Ndugu yangu, Wapinzani hawaichonganishi SERIKALI na wananchi, Bali ni watu wema ndani ya CCM wamezila na wengine wameamua kunyamaza na kukaa kimya.

Jiulize kwanini The late Kolimba alipomaliza kuongea kwenye moja ya vikao vya chama aliangukana. Unajua aliwahi kusema CCM imepoteza Dira, hasa baada ya watu wema kukaa kimya wakati wake na majibu tuliyapata baada ya Mrema kuhamia Nccr mageuzi na uchaguzi wa mwaka 1995 alimanusura dola iende upinzani? Unajua kuanzia hapo umhimu wa Kolimba ulianza kuonekana. Ukijua hayo ndipo utagundua kuwa tatizo sio CCM tatizo ni mfumo danganyifu ndani ya CCM.

Nawatakia kazi njema. Ila najua mambo mengi ndani ya CCM ni propaganda tu.

Deogratius Nalimi Kisandu
 
Hakuna wakiinusuru Ccm. Hata huyo kabud atabebewa akili naatakuwa Mzigo. Kikubwa mkubali kuwa hakuna kisichokufa zaidi ya miamba. Mtu hufa sembuse chama!! Serikali inayoshindwa kukusanya kod hiyo imefilisika. Nyerere
 
Nilishangaa niliposikia waandishi Wa habari wamealikwa kwenda kumsikiliza pole pole!!! Waandishi Wa habari ndio wanaotuangusha!!! Unawezaje kwenda kumsikiliza mtu kama pole pole? Hii nchi watu walioenda shule na ambao hawakwenda sijaona tofauti yao!!! Unaendaje kumsikiliza mtu aliekuhubiria vyeo vya ukuu wa wilaya havina tija vifutwe halafu hapo hapo akateuliwa akakubali? Au mtu aliekuhubiria umuhimu wa katiba mpya leo anakwambia sio kipaumbele? Hawa waandishi walioenda kumsikiliza hawana tofauti na wale wananchi wa Bukoba na Geita waliotukanwa wakabaki kupiga makofi na vigelegele!! Tanzania ina safari ndefu Mno!!!!!
 
Nakumbuka ule usemi wa marehemu Horace Kolimba (Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi) Namnukuu - CHAMA CHA CCM KIMEPOTEZA DIRA NA MUELEKEO!
 
Nimefatilia hotuba yako Leo,
Ndugu yangu, Wapinzani hawaichonganishi SERIKALI na wananchi, Bali ni watu wema ndani ya CCM wamezila na wengine wameamua kunyamaza na kukaa kimya.

Jiulize kwanini The late Kolimba alipomaliza kuongea bungeni na kuanguka. Unajua aliwahi kusema CCM imepoteza Dira, hasa baada ya watu wema kukaa kimya wakati wake na majibu tuliyapata baada ya Mrema kuhamia Nccr mageuzi na uchaguzi wa mwaka 1995 alimanusura dola iende upinzani? Unajua kuanzia hapo umhimu wa Kolimba ulianza kuonekana. Ukijua hayo ndipo utagundua kuwa tatizo sio CCM tatizo ni mfumo danganyifu ndani ya CCM.

Nawatakia kazi njema. Ila najua mambo mengi ndani ya CCM ni propaganda tu.

Deogratius Nalimi Kisandu
Vipi bhado una nia ya kupewa uongozi serikalini.?
 
Nimefatilia hotuba yako Leo,
Ndugu yangu, Wapinzani hawaichonganishi SERIKALI na wananchi, Bali ni watu wema ndani ya CCM wamezila na wengine wameamua kunyamaza na kukaa kimya.

Jiulize kwanini The late Kolimba alipomaliza kuongea bungeni na kuanguka. Unajua aliwahi kusema CCM imepoteza Dira, hasa baada ya watu wema kukaa kimya wakati wake na majibu tuliyapata baada ya Mrema kuhamia Nccr mageuzi na uchaguzi wa mwaka 1995 alimanusura dola iende upinzani? Unajua kuanzia hapo umhimu wa Kolimba ulianza kuonekana. Ukijua hayo ndipo utagundua kuwa tatizo sio CCM tatizo ni mfumo danganyifu ndani ya CCM.

Nawatakia kazi njema. Ila najua mambo mengi ndani ya CCM ni propaganda tu.

Deogratius Nalimi Kisandu


Uzuri wa CCM ni Chama kubwa ni kama vile USA kila mtu anachambua na kukosoa anavyopenda, lkn ukosoaji huo huo ukiuhamishia upande wa pili ni majanga, sasa ichukuwe chadema, CUF au sijui Hashimu Rungwe (sijui jina la Chama chake) halafu ziweke kwenye radar kama vile CCM inavyowekwa, anza kuzichambua kuanzia Demokrasia mpaka haki za tu za kwaida za Wafanyakazi kama madereva halafu urudi hapa!
 
Naona unajitahidi sana kuipaka CCM matope lkn ukishapewa uenyekiti wa mtaa km alivyofanywa mwenzio polepole haraka sana utaufyata.
 
Nilishangaa niliposikia waandishi Wa habari wamealikwa kwenda kumsikiliza pole pole!!! Waandishi Wa habari ndio wanaotuangusha!!! Unawezaje kwenda kumsikiliza mtu kama pole pole? Hii nchi watu walioenda shule na ambao hawakwenda sijaona tofauti yao!!! Unaendaje kumsikiliza mtu aliekuhubiria vyeo vya ukuu wa wilaya havina tija vifutwe halafu hapo hapo akateuliwa akakubali? Au mtu aliekuhubiria umuhimu wa katiba mpya leo anakwambia sio kipaumbele? Hawa waandishi walioenda kumsikiliza hawana tofauti na wale wananchi wa Bukoba na Geita waliotukanwa wakabaki kupiga makofi na vigelegele!! Tanzania ina safari ndefu Mno!!!!!
Yaani kamanda umeongea sana.Sijui tumelogwa na nani watanzania huyu polepole na kabudi tuliowaamini watanzania leo wanakula matapishi yao.Waandishi eti wanaenda kuwasikiliza wakati wenzao jana walipigwa wakiwa kwa Lowasa inashangaza sana.
 
Nimefatilia hotuba yako Leo,
Ndugu yangu, Wapinzani hawaichonganishi SERIKALI na wananchi, Bali ni watu wema ndani ya CCM wamezila na wengine wameamua kunyamaza na kukaa kimya.

Jiulize kwanini The late Kolimba alipomaliza kuongea bungeni na kuanguka. Unajua aliwahi kusema CCM imepoteza Dira, hasa baada ya watu wema kukaa kimya wakati wake na majibu tuliyapata baada ya Mrema kuhamia Nccr mageuzi na uchaguzi wa mwaka 1995 alimanusura dola iende upinzani? Unajua kuanzia hapo umhimu wa Kolimba ulianza kuonekana. Ukijua hayo ndipo utagundua kuwa tatizo sio CCM tatizo ni mfumo danganyifu ndani ya CCM.

Nawatakia kazi njema. Ila najua mambo mengi ndani ya CCM ni propaganda tu.

Deogratius Nalimi Kisandu

Point of correction!

Hayati Horace Kolimba hakudondoka akiwa Bungeni ilikuwa kwny Vikao vya Chama!
 
Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.

Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
 
Nilishangaa niliposikia waandishi Wa habari wamealikwa kwenda kumsikiliza pole pole!!! Waandishi Wa habari ndio wanaotuangusha!!! Unawezaje kwenda kumsikiliza mtu kama pole pole? Hii nchi watu walioenda shule na ambao hawakwenda sijaona tofauti yao!!! Unaendaje kumsikiliza mtu aliekuhubiria vyeo vya ukuu wa wilaya havina tija vifutwe halafu hapo hapo akateuliwa akakubali? Au mtu aliekuhubiria umuhimu wa katiba mpya leo anakwambia sio kipaumbele? Hawa waandishi walioenda kumsikiliza hawana tofauti na wale wananchi wa Bukoba na Geita waliotukanwa wakabaki kupiga makofi na vigelegele!! Tanzania ina safari ndefu Mno!!!!!
Duu! Watu wanatunza kumbukumbu!!
 
Back
Top Bottom