Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

af huyu ni mjinga sana ukiona mtu anadanganya umma af anataaluma ya sheria arudishwe shule
 
Sasa huyo polepole utamfananisha na master mind wetu, lowassa habari nyingine hiyo
 
Propaganda hizi zimechelewa sana. Watu wa Tanzania wameshafanya maamuzi magumu.

Lowassa ndiye Rais ajaye, huu ndio ukweli mchungu kwa CCM!
 
Sasa polepole ni mjumbe wa kamati ya maadili. Wajumbe wenyewe mbona wapo kimya. Heb wataalamu wa taarifa nambieni. Tuwaamini kina nchimbi na wenzake walotoka kikaoni kulalamika na mwandosya aliyesema haki haikutendeka au tumwamini polepole. Lolepole hana tofauti na mimi si lolote wala chochote
 
Polepole si tuu anautapia mlo wa mwili bali na akili pia
 
Naombeni CV ya pole pole ILI nijue MTU tunatemjibu upstairs pako vipi
 
Kama ni kweli, mbona CCM wenyewe hawakuwahi kulisema hili? Hasa ukizingatia ambayo wamekwisha kuyasema. Hata Prof Mwandosya alishadokeza kuwa mwenyekiti alikuwa na majina yake!
 
Anavyo ongea hivi anaongea kama nani?maana tunajua kamati kuu hayupo wala sio mjumbe wa NEC au ndio shobo ujinga.

Acha ufinyu wa fikra. Hoja yako inauawa na Kamanda Kingunge a.k.a KK.

Wakati Kingunge anapiga makelele kuwa kanuni hazikufuatwa alikuwa ni mjumbe wa kikao gani cha ccm?
Hakuwepo katika kamati kuu au halmashauri kuu ya ccm.

Na KK ndo chanzo cha ujasiri wa Lowassa kuhamia Ukawa kwa kisingizio cha kuvunjwa kanuni. Alikuwemo?
Hapo sasa jipange upya.
 
Miongo sana mi ukawa. Yamezusha eti mwamunyange kapewa sumu. Leo kaonekana live wameanza kupotezea na kutafutiza tujineno. Wajinga sana hawa na yule babu asiyeweza kuhutubia kwa zaidi ya dk 10.

Yalizusha kuwa kapewa sumu na kakimbizwa hospitali kwa matibabu. Amepona, amerudi. Uongo uko wapi? Nadhani dozi ilikuwa ndogo au hiyo kitu ilikuwa imechakachuliwa na hivyo kutokuwa effective as expected. Labda ni hivyo. Najaribu tu kuwaza along your lines.
 
Polepole kwani ni mjumbe kamati ya maadili..? Yeye amenunuliwa na CCM kumchafua Lowassa tu, atakoma subiria 25 Oct. baada ya kura, Lowassa ni Rais, atafute nchi ya kwenda..!! Atajutia...!! Huyu dogo, mdomo wake ataujutia..!!

Nchimbi, Kimbisa, Sophia Simba, ndio wajumbe wa KAMATI KUU YA CCM, ndio wanao weza sema ukweli... na ukweli ni KUWA HAKI HAIKUFUATWA... Katiba ya CCM ilivunjwa, ili kumzuia Lowassa...!!!

Polepole ni pumbavu, lofa tu, na atakoma, ngoja Lowassa aapishwe..!!
 
Hata angefanyaje jiandae tu lowassa ndo rais wako!!!

Watu wengine bwana???!!!! Mhe. Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania. Lowassa atashindwa kwenye uchaguzi huu. Ni kweli Lowassa ' "anapendwa" na watu wa chini. Anapendwa na 'lumpen proletariat' na wengine. Lakini watu hawa wa chini wanadangaywa tu. Mhe. Lowassa hawezi kuwa mkombozi wa wanyonge. MAGUFULI ndiye mkombozi wa wanyonge. MAGUFULI atashinda kwa kati ya asilimia 60 na 72. MAGUFULI ana nia ya dhati ya 'kuitengeneza' nchi hii. Lakini ni kweli kuwa MAGUFULI (PhD) baada ya kuchukua uongozi atakabiliwa na upinzani wa 'walaji' ndani ya CCM, serikali na bussiness community. MAGUFULI (PhD) atahitaji kupata ulinzi mkubwa.
 
Yes ni kweli aliomba msamaha kwa mwenyezi MUNGU kuwa amsamehe kwa kuwa ndani ya chama cha udhalimu kwa mda mrefu bila kufanya maamuzi sahihi ya kutoka nje ya ccm(Farao)na kwenda nje ya ccm kuwakomboa watanzania mwaka 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom