Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

Hivi huyo Polepole anajua nini!? Zaidi ya stori alizohadithiwa na akina Warioba na Butiku hana akijuacho zaidi.
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv

Kumbe polepole alikuwemo kwenye hiyo tume ya maadili?
 
Miongo sana mi ukawa. Yamezusha eti mwamunyange kapewa sumu. Leo kaonekana live wameanza kupotezea na kutafutiza tujineno. Wajinga sana hawa na yule babu asiyeweza kuhutubia kwa zaidi ya dk 10.
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv

Mtu akishapoteza credibility hata aseme nini haisaidii...anaharibu zaidi.....eti mwakilishi......ndio mathink tank yaliyobaki wiki hii....dah! Undumilakuwili ni mbaya sana.......
 
Pole pole ni mwongo na mzushi, anachokisema hakipo ndani ya CCM, Hakuna popote katika kanuni, taratibu au sheria za CCM inaonyesha kuwa Kamati ya Maadili anapaswa kuita wagombea na kuwahoji.
Lakini yote kwa yote, hicho kitu anachosema Polepole hakikutokea kabisa.

Ni jambo la ajabu kabisa Polepole kuzungumzia jambo ambalo hakuna mahali popote limezungumzwa na kiongozi yoyote wa CCM.

Labda hiyo ilikuwa ni CCM yake na mke wake.
 
Mtu akishapoteza credibility hata aseme nini haisaidii...anaharibu zaidi.....eti mwakilishi......ndio mathink tank yaliyobaki wiki hii....dah! Undumilakuwili ni mbaya sana.......

Sindano imewaingia
 
Polepole ni muongo wa kutupwa muuza maneno..a desparate pperson who is using tume ya katiba platform for political redemption....you are looser.
 
Polepole ni muongo wa kutupwa muuza maneno..a desparate pperson who is using tume ya katiba platform for political redemption....you are looser.

Aliongea kwa kurelax na kujiamini sana wewe ndio mwenye taharuki
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv

hivi polepole ni riski kwa wazazi wake kweli!!!!!!namuona kama mboga vile!!!!
 
hivi polepole ni riski kwa wazazi wake kweli!!!!!!namuona kama mboga vile!!!!
Hata kama ni mboga lakini cha msingi ni yale aliyoyasema...hayo mengine ni kati yako na yeye mkathibitishiane chumbani.
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv
Msubir kuvuna mlicho panda
 
Hayo maneno tulipaswa kuyasikia toka kwa Nape...

Polepole kawa lini msemaji wa CCM?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom