BETWEL JACKSON
Senior Member
- Sep 19, 2015
- 117
- 7
Polepole kwani ni mjumbe kamati ya maadili..? Yeye amenunuliwa na CCM kumchafua Lowassa tu, atakoma subiria 25 Oct. baada ya kura, Lowassa ni Rais, atafute nchi ya kwenda..!! Atajutia...!! Huyu dogo, mdomo wake ataujutia..!!
Nchimbi, Kimbisa, Sophia Simba, ndio wajumbe wa KAMATI KUU YA CCM, ndio wanao weza sema ukweli... na ukweli ni KUWA HAKI HAIKUFUATWA... Katiba ya CCM ilivunjwa, ili kumzuia Lowassa...!!!
Polepole ni pumbavu, lofa tu, na atakoma, ngoja Lowassa aapishwe..!!
Huyu bushmen anautafuta ukuu wa wilaya kwa nguvu zote.
MWENZANGU NA WEWE NI MWANACHAMA WA CCM?
Taarifa zinasambaa, kwamba msanii nguli wa muziki wa bongo fleva, Diamond, amelipwa Tsh. 1.3 bilioni kwa ajili ya kufanya kampeni za CCM, Wema sepetu ambaye amewahi kuripotiwa kucheza filamu za ngono, amepewa Tsh. 600 milioni. Kuna wasanii karibu 30 wanaofanya kampeni za CCM huku wakilipwa na CCM. Mabilioni ya pesa yanatumika huko kwa ajili hiyo.
K/mkuu Kinana anaripotiwa kujichukulia karibu Tsh. 3 bilion kutoka mfuko wa kampeni kisha akatoa taarifa kwa JK kuwa pesa za kampeni zimeisha. Alipoulizwa zimeishaje akajibu, Diamond Bil. 1.3, Wema mil. 600, wamekifanyia nini Chama? Mimi nimezunguka nchi nzima kukinadi chama nimepata nini, sasa nimechukua na sirudishi. Hapo K/mkuu alikataa kuwa msumari, utaelewa baadae.
Sio hivyo tu, humo humo kwenye kampeni kuna wapigaji wanafanya kazi yao.
Ukisikia CCM wamekopa mabilioni ya pesa kutoka CWT, na kuuza hisa za TBL kwa bil. 80, ili zisaidie kampeni usidhani zote zinakwenda kwenye kampeni, nop, watu wanajiandalia maisha baada ya uchaguzi.
Kuna dalili bilioni 1.3 na ishara milioni 600 za CCM kukosa Urais, kwa hiyo lazima watu wajiandae kuishi ndani au nje ya Tanzania baada ya kutolewa kwenye utawala.
Sasa wewe mwenzangu na Mimi, unayetoka mishipa kushabikia CCM, wewe ni kada au mtoto wa kada gani maarufu? Wewe ni mwanafamilia wa kada gani anayelalia mabilioni ya Shilingi za walipakodi? Na wewe ni mpigaji? Au unajiandaa kuwa mpigaji? Una undugu nao?
Au unajipendekeza tu ili upate nafasi ya kupiga pesa baadae?
Baba ako analipwa ngapi? Mama ako analipwa ngapi? au anajichukulia ngapi? Kwako wewe gharama za maisha haziongezeki sio? Huduma mbovu za elimu haikuhusu eti ee?
Ukisikia wanyama wamepandishwa ndege kutengeneza vituo vya utalii huko ughaibuni wewe huna habari, unatafuta majibu au matusi kwa watu wanaopinga hayo mambo.
Unajiita CCM kwa fulana na elfu 10, huwezi kujitafutia hivyo vitu kisha Ukawa huru kupambana na wanyang'anyi?
Wana CCM wenzako wananufaika na meno ya tembo na biashara za dawa ya kulevya wewe ni mmoja wao?
Unashinda mitandaoni kupost picha za kampeni za magufuri wakati wenye CCM wanakula maisha, wanatuachia maiti za tembo, mateja mitaani na mashimo matupu migodini, wao wanakesha baa, wakitoka na maV8 yao haaoo kwenye mahoteli ya kifahari, wakitoka humo ni ughaibuni.
Na wewe unafanya hivyo?
Kama ndio basi 'big up', Ila kama unatukana tu, unahangaika kuitetea CCM kwa buku 10, basi angalia vizuri nembo ya CCM utaona kuna alama ya NYUNDO, na wewe umechagua kuwa MSUMARI, kazi ya nyundo ni kugonga misumari, kwa hiyo wewe unagongwa na CCM. Na Kamwe masumari haugeuki kuwa Nyundo.
Utaishia kugongwa tu na Mimi nasema ugongwe tu maana hamna namna nyingine.
MWENZANGU NA WEWE NI MWANACHAMA WA CCM?
Taarifa zinasambaa, kwamba msanii nguli wa muziki wa bongo fleva, Diamond, amelipwa Tsh. 1.3 bilioni kwa ajili ya kufanya kampeni za CCM, Wema sepetu ambaye amewahi kuripotiwa kucheza filamu za ngono, amepewa Tsh. 600 milioni. Kuna wasanii karibu 30 wanaofanya kampeni za CCM huku wakilipwa na CCM. Mabilioni ya pesa yanatumika huko kwa ajili hiyo.
K/mkuu Kinana anaripotiwa kujichukulia karibu Tsh. 3 bilion kutoka mfuko wa kampeni kisha akatoa taarifa kwa JK kuwa pesa za kampeni zimeisha. Alipoulizwa zimeishaje akajibu, Diamond Bil. 1.3, Wema mil. 600, wamekifanyia nini Chama? Mimi nimezunguka nchi nzima kukinadi chama nimepata nini, sasa nimechukua na sirudishi. Hapo K/mkuu alikataa kuwa msumari, utaelewa baadae.
Sio hivyo tu, humo humo kwenye kampeni kuna wapigaji wanafanya kazi yao.
Ukisikia CCM wamekopa mabilioni ya pesa kutoka CWT, na kuuza hisa za TBL kwa bil. 80, ili zisaidie kampeni usidhani zote zinakwenda kwenye kampeni, nop, watu wanajiandalia maisha baada ya uchaguzi.
Kuna dalili bilioni 1.3 na ishara milioni 600 za CCM kukosa Urais, kwa hiyo lazima watu wajiandae kuishi ndani au nje ya Tanzania baada ya kutolewa kwenye utawala.
Sasa wewe mwenzangu na Mimi, unayetoka mishipa kushabikia CCM, wewe ni kada au mtoto wa kada gani maarufu? Wewe ni mwanafamilia wa kada gani anayelalia mabilioni ya Shilingi za walipakodi? Na wewe ni mpigaji? Au unajiandaa kuwa mpigaji? Una undugu nao?
Au unajipendekeza tu ili upate nafasi ya kupiga pesa baadae?
Baba ako analipwa ngapi? Mama ako analipwa ngapi? au anajichukulia ngapi? Kwako wewe gharama za maisha haziongezeki sio? Huduma mbovu za elimu haikuhusu eti ee?
Ukisikia wanyama wamepandishwa ndege kutengeneza vituo vya utalii huko ughaibuni wewe huna habari, unatafuta majibu au matusi kwa watu wanaopinga hayo mambo.
Unajiita CCM kwa fulana na elfu 10, huwezi kujitafutia hivyo vitu kisha Ukawa huru kupambana na wanyang'anyi?
Wana CCM wenzako wananufaika na meno ya tembo na biashara za dawa ya kulevya wewe ni mmoja wao?
Unashinda mitandaoni kupost picha za kampeni za magufuri wakati wenye CCM wanakula maisha, wanatuachia maiti za tembo, mateja mitaani na mashimo matupu migodini, wao wanakesha baa, wakitoka na maV8 yao haaoo kwenye mahoteli ya kifahari, wakitoka humo ni ughaibuni.
Na wewe unafanya hivyo?
Kama ndio basi 'big up', Ila kama unatukana tu, unahangaika kuitetea CCM kwa buku 10, basi angalia vizuri nembo ya CCM utaona kuna alama ya NYUNDO, na wewe umechagua kuwa MSUMARI, kazi ya nyundo ni kugonga misumari, kwa hiyo wewe unagongwa na CCM. Na Kamwe masumari haugeuki kuwa Nyundo.
Utaishia kugongwa tu na Mimi nasema ugongwe tu maana hamna namna nyingine.
CCM inafungua MIG kwa kasi ya hatari