Hahahaha vipi kipindi Cha magu? Wakina polepole walikuwa hawataki kabisaa serikali ikosolewe,mjanja tu huyo alituingiza kingi kwenye katiba ,akatuingiza king Tena,na Sasa anawaingiza kingi nyie msiyemjua,hapo akiwapewa cheo tu Cha ukatibu uenezi,ataanza kuwashughirikia watakao kuw wanakosoa,huyo ndo polepole bwanaPolepole ana haki ya kuikosoa serikali yake bungeni kama mbunge,na ana haki ya kuikosoa serikali yake popote pale kama mwananchi
Anapewa muda abwabawaje kisha atabanwa mbavu kidogo atapotea pote.. Yuko wapi Gwajiboi aliyekamata headlines kwa mawikiHahahaha vipi kipindi Cha magu? Wakina polepole walikuwa hawataki kabisaa serikali ikosolewe,mjanja tu huyo alituingiza kingi kwenye katiba ,akatuingiza king Tena,na Sasa anawaingiza kingi nyie msiyemjua,hapo akiwapewa cheo tu Cha ukatibu uenezi,ataanza kuwashughirikia watakao kuw wanakosoa,huyo ndo polepole bwana
Polepole karusha mawe gizani. Ha ha haaaaa!Mmeanza!
Anapewa muda abwabawaje kisha atabanwa mbavu kidogo atapotea pote.. Yuko wapi Gwajiboi aliyekamata headlines kwa mawiki

.
Waliowakosoa waliwafanya nini?Walikosolewa kipindi wakiwa wameshika usukani, mwacheni nae akosoe vilivyo. That's democracy, si ndio mnavyotaka?
Ah ah ah happy sasa utagombana na wapare na waluguru watakubondaaa uzimieOgopa Sana mtu mzima kua na umbo la kitoto.
Hili la kupaliliwa njia ya kuwa waziri ninalikubali kabisa yaani, maana dalili zote zilikuwepo, ilikuwa imebakia utekelezaji tu!Polepole aliingizwa bungeni ile akateee "project inayoitwa ATAKE ASITAKE" kisha angepewa Uwaziri wa Utalii !!!! Baada ya utabiri wa GODBLESS. LEMA kutimia ,sasa bwana polepole kawehuka
Mabadiliko ya Mungu yanaweza kuja kwa kuchelewa ama kwa ghafla ya kustaajabisha sana!Hili la kupaliliwa njia ya kuwa waziri ninalikubali kabisa yaani, maana dalili zote zilikuwepo, ilikuwa imebakia utekelezaji tu!
Kila Magufuli aliyemteua ubunge kwa nafasi za rais, lazima alikuwa na lengo naye la kumpaisha kula unyunyu!
Mabadiliko ya Mungu yanaweza kuja kwa kuchelewa ama kwa ghafla ya kustaajabisha sana!
Sent using Jamii Forums mobile app



