Poleni vijana mnaofikiria kuwa na pesa utapata mapenzi ya kweli

Wew umeelewa vibaya mkuu Yan ukiambiwa tafuta ela maana yake utafute ela kwa ajili ya kujenga maisha mazuri ya watoto wako na familia yako kwa ujumla
 
huyu ni MANARA wetu kabisaaaa...hahahahah
 
Utawasikia

"mwanamme asiye na hela nimpeleke wapi.....Bora kulia kwenye Vogue kuliko kucheka kwenye baiskeli..........."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…