Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Ukiwa na pesa na bado ukawa unaendelea kuteswa na mapenzi hayo ni matumizi mabaya ya pesa! Mwanaume ukiwa na pesa inabidi ubadilishe mindset uwachukulie tu kama ni chombo hakuna kuwekeza moyo zaidi ya akili.
Yaani akizingua na wewe unazingua zaidi yake, wajuba tujifunze kwa kijana mwenzetu sadala kazaa na pisi zote kali na hana time na kuvizia kupasha viporo wala nini.
Vijana wenzetu mnakwama wapi kila siku kulialia na kurudiana na ma Ex. Ukiwa na pesa kulia lia kisa mbususu ni matumizi mabaya sana ya pesa
Yaani akizingua na wewe unazingua zaidi yake, wajuba tujifunze kwa kijana mwenzetu sadala kazaa na pisi zote kali na hana time na kuvizia kupasha viporo wala nini.
Vijana wenzetu mnakwama wapi kila siku kulialia na kurudiana na ma Ex. Ukiwa na pesa kulia lia kisa mbususu ni matumizi mabaya sana ya pesa