Poleni Makete kwa hili baridi la Centigrade 8

Poleni Makete kwa hili baridi la Centigrade 8

Sasa baridi ikizidi ndio waongeze waathirika wa ukimwi?

Mbona wenzetu wanaishi maeneo ya baridi zaidi ya hiyo ila hali hakuna maambukizi ya ukimwi?
umeshasema wenzentu,wale wamepewa elimu ya kujikinga na maambukizi tangu wakiwa wadogo;umewahi kusikia nchi za ulaya kuna mlipuko wa homa za kuhara au kipindupindu??
Niliwahi kufanya mapenzi na malaya kizungu alilazimisha tutumie condom na aliniambia kama sitaki kutumia condom bhasi niende nikachukue malaya wa kiafrica
 
Ukishindwa kuishi kwenye hali ya hewa kama ya Makete basi huwezi kuishi popote Tanzania.
 
Kwa mujibu wa watàfiti toka mamlaka ya hali hewa nchini, eneo la kikondo wilayani makete ndilo eneo lenye baridi kari zaidi hapa nchini.

Nilifika hapo mwaka 2010 nilikaa siku 8 pasipo kuoga, ni mwendo wa kunawa uso tu.

Unaamka asubuhi inabidi uamkie kwenye moto!
 
Huko sikutaki kwa barid, nilikuwa Mafinga 2015/2016
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mtu alitoka dar kwenda kibaigwa dodoma kwenye harusi,akawa analalamika baridi anashinda na koti.wakaja wageni wengine kutoka huko makete wakawa wanalalamika joto[emoji23] [emoji23] akahisi wanamzingua.
 
kuwa serious mkuu nioge??jana yenyewe nilienda haja kubwa lakini sikuweza kunawa nilichambia makaratasi,maji hayashikiki kwa mikono brother kama haumini ulizia wenyeji wa huku
smilie 3.jpg
 
Nipo Makete leo kikazi lakini baridi la huku ni hatari, sijawahi kuona baridi kama hili la Centigrade 8.

Nimejaribu kucheki kanda nyingine lakini haijafikia balaa la Makete.

Iringa 15C
Mufindi 10C
Mafinga 11C
Lushoto 12C
Mbinga 15C
Rungwe 13C
Makambako 12C
Njombe 11C
Arusha 16C
Babati 16C
Monduli 15C
Machame 12C
Makete 8C

Kwa hali hii Makete na Njombe wana haki ya kuongoza kwa idadi ya waathirika wa UKIMWI

UPDATE:

Sasa hivi ni saa 11 asubuhi imepanda mpaka 14 degrees Centigrade wenyeji wanasema sasa hivi afadhali ni joto wakati mimi bado nipo karibu na jiko na makoti 2.

Hii ni hatari jana nilienda haja kubwa nilichambia makaratasi, maji hayashikiki balaa tupu.
Siita lukholo lwangu
 
Barid inaumiza sana najuta kuja kwenye barid kutoka kwenye joto
 
asee huku lushoto hyo 12 inatutesa ikshuka jee
 
mie nahakika hakuna sehem yenye barid km makambako na mufindi! tena miaka hii ukwei kunajoto! mkuu ww huko makete wanavyokuambia ni ukweli kbs! miaka ya 1995 ilikua hakukanyagiki! pole sana! yaan hapo ni mwendo wa kuota moto masaayote miguu nanngozi zinakuwa mbyyy!wenyewe wanaita (mbalanga)! unajikwangua husikii maumiv jua likitoka ndo unafeel some pains! mdomo unaongea unatoka ukungu!hapana aic! ila mkuu tafuta fursa huko za hali yahewa hyo! mfano lima maua uexport au uyoga! kilalaheri
 
Back
Top Bottom