Poleni Makete kwa hili baridi la Centigrade 8

Poleni Makete kwa hili baridi la Centigrade 8

Nipo makete leo kikazi lakini baridi la huku ni hatari,sijawahi kuona baridi kama hili.centigrade 8.
Nimejaribu kucheki kanda nyingne lakini haijafikia balaa la makete.
Iringa 15c
mufindi 10c
mafinga 11c
lushoto 12c
mbinga 15c
rungwe 13c
makambako 12c
njombe 11c
arusha 16c
babati 16c
monduli 15c
machame 12c
MAKETE 8c.
Kwa hali makete na njombe wana haki ya kuongoza kwa idadi ya waathirika wa ukimwi
Ni hatari aisee, mtu ambae hakujui uku ni rahisi kutokuelewa unachomaanisha.
 
nipo ndani ya jokofu,nawaona tu mnavyoleta udaslamu!
Shubaaaaaaamit
 
Nipo makete leo kikazi lakini baridi la huku ni hatari,sijawahi kuona baridi kama hili.centigrade 8.
Nimejaribu kucheki kanda nyingne lakini haijafikia balaa la makete.
Iringa 15c
mufindi 10c
mafinga 11c
lushoto 12c
mbinga 15c
rungwe 13c
makambako 12c
njombe 11c
arusha 16c
babati 16c
monduli 15c
machame 12c
MAKETE 8c.
Kwa hali makete na njombe wana haki ya kuongoza kwa idadi ya waathirika wa ukimwi
Na lushoto pia
 
Kwa mujibu wa watàfiti toka mamlaka ya hali hewa nchini, eneo la kikondo wilayani makete ndilo eneo lenye baridi kari zaidi hapa nchini.
 
kuwa serious mkuu nioge??jana yenyewe nilienda haja kubwa lakini sikuweza kunawa nilichambia makaratasi,maji hayashikiki kwa mikono brother kama haumini ulizia wenyeji wa huku
Nimecheka balaa, yaani baridi hadi hamna kuchamba kwa maji!!?
 
kuwa serious mkuu nioge??jana yenyewe nilienda haja kubwa lakini sikuweza kunawa nilichambia makaratasi,maji hayashikiki kwa mikono brother kama haumini ulizia wenyeji wa huku
Haaaaaaaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom