Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
313
Reaction score
2,649
Wewe kataa kwenda Ubalozi.

Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).

Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.

Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.

IMG_1203.jpeg


Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!

Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?

Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!

Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake

IMG_1202.jpeg
 
Wewe kataa kwenda Ubalozi.

Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).

Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.

Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.

View attachment 3523795

Endelea, na ujue kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake.

Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!

Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?

Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!

Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake

View attachment 3523797
Huyu bwana ana wadhifa gani hapo jumba jeupe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom