Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 313
- 2,649
Wewe kataa kwenda Ubalozi.
Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).
Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.
Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.
Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!
Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?
Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake
Danganya unataka kuendesha biashara zako binafsi (utaeleza ni biashara gani).
Danganya pia kuwa unauguliwa na kaka yako.
Ukiweza, wambie siafu (chawa) wako kuwa umeamua kujiuzulu.
Tangu umefika ofisi kuu, umesababisha ujinga mwingi sana nchini. Umeumiza wengi. Kibri kilitamalaki!
Uliwadanganya wengi kuwa wewe ndo unaendesha mfumo - kiko wapi?
Na wote uliokuwa ukiwahonga tutawaanika. Na pesa ulizoficha Dubai zitafikiwa!
Kila mmoja atachanganyikiwa kwa wakati wake