Pole Mstaafu Jakaya Kikwete

Pole Mstaafu Jakaya Kikwete

Natambua wengi watakusahau kwenye hili, lakini mimi nimekukumbuka vile unavyojisikia kuondokewa na watu wako wa karibu sana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Hilo ni la kwanza! Pole ya pili ni kule kuachwa pekeyako na wastaafu wenzako mliokalia kiti kimoja kwa kupokezana kwa vipindi tofauti tofauti

Hawa wote kwa vyovyote vile una kumbukumbu zao nyingi tuu katika maisha yenu ya kielimu, kikazi kisiasa, nje ya siasa, kifamilia na hatimaye kustaafu.

Kuna aina fulani ya upweke na majonzi unapata ambavyo hisia na maumivu yake halisi ni wewe pekee ndio unaweza kuhisi. Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala

Kuna aina fulani ya simanzi, uoga, sonona, upweke na huzuni vitakupata hata katikati ya tabasamu laki mbele ya kadamnasi.. Kuna machozi ya siri utalia sirini na kimyakimya bila wengine kujua wala kuona!

All in all jipe moyo.. Ndie pekee uliyebaki hivyo una najukumu mazito zaidi hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.. Mama anakuamini na kukutegemea sana

Pole JK

View attachment 2920677
Kuna mzee mmoja mweenye hekima alisema WATU WEMA HAWAFI MAPEMA.

Nina simanzi lakini najivunia maisha ya mzee Mwinyi
 
Wazuri hawafi kabisa pasi ni zile zile fupi fupi tuu, siku lile zee la hovyo "likifwariki" nitaenda msibani kwake na bango kubwa kabisa limeandikwa wazuri hawafi
siku lile zee la hovyo "likifwariki" nitaenda msibani kwake na bango kubwa kabisa limeandikwa wazuri hawafi
 
Natambua wengi watakusahau kwenye hili, lakini mimi nimekukumbuka vile unavyojisikia kuondokewa na watu wako wa karibu sana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Hilo ni la kwanza! Pole ya pili ni kule kuachwa pekeyako na wastaafu wenzako mliokalia kiti kimoja kwa kupokezana kwa vipindi tofauti tofauti

Hawa wote kwa vyovyote vile una kumbukumbu zao nyingi tuu katika maisha yenu ya kielimu, kikazi kisiasa, nje ya siasa, kifamilia na hatimaye kustaafu.

Kuna aina fulani ya upweke na majonzi unapata ambavyo hisia na maumivu yake halisi ni wewe pekee ndio unaweza kuhisi. Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala

Kuna aina fulani ya simanzi, uoga, sonona, upweke na huzuni vitakupata hata katikati ya tabasamu laki mbele ya kadamnasi.. Kuna machozi ya siri utalia sirini na kimyakimya bila wengine kujua wala kuona!

All in all jipe moyo.. Ndie pekee uliyebaki hivyo una najukumu mazito zaidi hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.. Mama anakuamini na kukutegemea sana

Pole JK

View attachment 2920677
Wakati ndiyo amefurahia sasa, kabaki peke yakee...watu wasiofikiri watamuona ndiye nguzo iliyobaki, wengine watamwita baba wa taifa! Ilhali ana agenda zake ovu anaziendeleza bila hofu sasa.
 
Natambua wengi watakusahau kwenye hili, lakini mimi nimekukumbuka vile unavyojisikia kuondokewa na watu wako wa karibu sana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Hilo ni la kwanza! Pole ya pili ni kule kuachwa pekeyako na wastaafu wenzako mliokalia kiti kimoja kwa kupokezana kwa vipindi tofauti tofauti

Hawa wote kwa vyovyote vile una kumbukumbu zao nyingi tuu katika maisha yenu ya kielimu, kikazi kisiasa, nje ya siasa, kifamilia na hatimaye kustaafu.

Kuna aina fulani ya upweke na majonzi unapata ambavyo hisia na maumivu yake halisi ni wewe pekee ndio unaweza kuhisi. Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala

Kuna aina fulani ya simanzi, uoga, sonona, upweke na huzuni vitakupata hata katikati ya tabasamu laki mbele ya kadamnasi.. Kuna machozi ya siri utalia sirini na kimyakimya bila wengine kujua wala kuona!

All in all jipe moyo.. Ndie pekee uliyebaki hivyo una najukumu mazito zaidi hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.. Mama anakuamini na kukutegemea sana

Pole JK

View attachment 2920677
Ujuaji mwingi kumbe ni useless
 
Back
Top Bottom