Pole Mstaafu Jakaya Kikwete

Pole Mstaafu Jakaya Kikwete

Mkuu Mshana hawa viongozi kama akina Jakaya ,huwa hawawazi negative wana nawaza postive ,saiv anawaza hiyo chance ya kuwa peke yake ataendeleza vipi atakao wa acha.Bila shaka akiwaza waliokuwa marafiki zake wametangulia haitamsaidia kwa chochote.
 
Natambua wengi watakusahau kwenye hili, lakini mimi nimekukumbuka vile unavyojisikia kuondokewa na watu wako wa karibu sana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Hilo ni la kwanza! Pole ya pili ni kule kuachwa pekeyako na wastaafu wenzako mliokalia kiti kimoja kwa kupokezana kwa vipindi tofauti tofauti

Hawa wote kwa vyovyote vile una kumbukumbu zao nyingi tuu katika maisha yenu ya kielimu, kikazi kisiasa, nje ya siasa, kifamilia na hatimaye kustaafu.

Kuna aina fulani ya upweke na majonzi unapata ambavyo hisia na maumivu yake halisi ni wewe pekee ndio unaweza kuhisi. Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala

Kuna aina fulani ya simanzi, uoga, sonona, upweke na huzuni vitakupata hata katikati ya tabasamu laki mbele ya kadamnasi.. Kuna machozi ya siri utalia sirini na kimyakimya bila wengine kujua wala kuona!

All in all jipe moyo.. Ndie pekee uliyebaki hivyo una najukumu mazito zaidi hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.. Mama anakuamini na kukutegemea sana

Pole JK

View attachment 2920677
Mbona Kikwete alimfanyia ubaya huyu mmasai , na mmasai ameugua sana lakin Kikwete hakufika kumjulia hali😛ole mpe lands Kwa ajili ya mzee Mwinyi ambaye alimfikisha hapo alipo. Lakin sio mmasai.
 
Natambua wengi watakusahau kwenye hili, lakini mimi nimekukumbuka vile unavyojisikia kuondokewa na watu wako wa karibu sana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Hilo ni la kwanza! Pole ya pili ni kule kuachwa pekeyako na wastaafu wenzako mliokalia kiti kimoja kwa kupokezana kwa vipindi tofauti tofauti

Hawa wote kwa vyovyote vile una kumbukumbu zao nyingi tuu katika maisha yenu ya kielimu, kikazi kisiasa, nje ya siasa, kifamilia na hatimaye kustaafu.

Kuna aina fulani ya upweke na majonzi unapata ambavyo hisia na maumivu yake halisi ni wewe pekee ndio unaweza kuhisi. Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala

Kuna aina fulani ya simanzi, uoga, sonona, upweke na huzuni vitakupata hata katikati ya tabasamu laki mbele ya kadamnasi.. Kuna machozi ya siri utalia sirini na kimyakimya bila wengine kujua wala kuona!

All in all jipe moyo.. Ndie pekee uliyebaki hivyo una najukumu mazito zaidi hasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025.. Mama anakuamini na kukutegemea sana

Pole JK

View attachment 2920677
"Huna tena mtu mliyeshiriki aina moja ya majukumu makubwa ya Urais ambaye yuko Hai.. Hata rafikiyo kipenzi EL naye kalala"!
Kumbe EL naye aliwahi kuwa rais! Naona kama vile umelazimisha kutengeneza Post! Hata hivyo asante.
 
Mkuu Mshana hawa viongozi kama akina Jakaya ,huwa hawawazi negative wana nawaza postive ,saiv anawaza hiyo chance ya kuwa peke yake ataendeleza vipi atakao wa acha.Bila shaka akiwaza waliokuwa marafiki zake wametangulia haitamsaidia kwa chochote.
Ila hayo mawazo hayakwepeki Hamunde yako so automatic na hayaji muda Wote
 
Mkuu Mshana hawa viongozi kama akina Jakaya ,huwa hawawazi negative wana nawaza postive ,saiv anawaza hiyo chance ya kuwa peke yake ataendeleza vipi atakao wa acha.Bila shaka akiwaza waliokuwa marafiki zake wametangulia haitamsaidia kwa chochote.
Ila hayo mawazo hayakwepeki Hamunde yako so automatic na hayaji muda Wote
 
Ujuaji mwingi kumbe ni useless
Useless aliyekuzaa!

downloadfile-60.jpg
 
Back
Top Bottom