Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Safi sana alitakiwa kusomesha ndugu zake sio mtu aliye kutana nae ukubwani!

Mtu anasomesha akitegemea alipwe fadhila ya kupendwa huko ni kujidanganya...!
Ukiamua kumsomesha mtu ni kama kutoa sadaka tuu..!

Umenena kk, m nakumbuka npo zang field ya teaching nkiwa nmekaa na mwl wa pale nlpopangiw mara nkamwona km kaanza kuchanganyikiw yan haamn, kumuulza nn tatzo kadai alkuwa anasomesha mchumba wake chuo cha ualimu na demu kamtosa, aliumia xn. Cku hyo hakufundsha
 
Frank atakuwa amepata somo zuri sana....
 
Kama nitamsomesha lazima awe mke rasmi na tayari ana watoto wangu wasiopungua watatu
 
Hakika kupenda kuna shida zake. Usishangae unamhurumia wakati yeye atasamehe na kumwoa kabisa. Ila inasikitisha kwa kweli. Pole zake
 
Wanawake wengi wanaosomeshwa na wanaume kisha kuwatosa wana uoga wa kutumika, na ubinafsi umewajaa ndio maana
 
Mimi simpi pole kama mliotangulia, Ila nakwambia Frank jipange upya. Pesa hutafutwa, mwache huyo bint afanye maisha. Kumbuka watu wa zamani walisema Fimbo ya mbali haiuwi nyoka.
 
mimi nina ushuhuda dhahiri wa mtu wangu wa karibu kamsomesha binti,ingawa huyo binti jamaa alizaa nae. kamsomesha chuo cha Ruaha miaka minne yule dada alikuwa anasoma Sheria, baada chuo kuisha binti akamtamkia hataki kuwa na future na YEye, binafsi niliumia sana hasa nikiwa nakumbuka sucrifice alizokuwa anafanya jamaa juu ya yule mwanamke. i guess Chriss Breezy was right these Ho**es aint LOyal.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…