greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,764
- 3,226
Mada ijayo ihusu aina za upauaji na tathmini yake kulimganisha na aina nyingine7.
(G)Paa,kwenye paa yafuatayo ni Muhimu.
-Matilio ya paa: Mbao na Vigae ,Nyasi,na Zege ni bora zaidi.-Ukitumia bati basi ziwe za Resin-Ukitumia bati za IT au kawaida basi geji iwe kubwa.-Dari: uwepo wake husaidia kutunza joto.-ziba mapengo yote kati ya kuta na bati.-Paka bati hata rangi nyeusi kama unaishi Mwakaleri.8.
(H) Mandhari, kuzunguka jengo.
-Karibu na Jengo,Eneo la Pavement liwe kubwa kuliko Nyasi,maua
-Panda miti ya kuzuia upepo.
-Ondoa Canopy:Ruhusu mwanga uingie ndani ulete joto.
(I) Samani
-Samani ziwe nyingi ndani ya Jengo
-Pazia za dirishani ziwe ndefu mpaka sakafuni.
9.NJIA ZA UMEME
hizi ni njia ambazo mashine hutumika kuzalisha joto,japo kwa Tanzania hizi njia siyo maarufu kwa Tanzania.
-Furnance,Pump za joto na Boiler hutumika.
10.Uchaguzi wa njia ipi ya kutumia,hutegemeana na Aina ya baridi,na kipato.
-Kuna maeneo yenye Baridi Kavu:Hapa maeneo yenye asili ya ukame
Mf.Tabora,Dodoma na Singida.
-Maeneo yenye Baridi Nyevu;Hapa ni maeneo yaliyo kwenye miinuko na Milima.
Mf.Mbeya,Njombe,Lushoto,Rombo,Arusha mjini,Moshi ,Iringana Babati.
Nakaribisha maswali na maoni.
Pendekezeni mada ijayo.
Okay,tunaendelea kukusanya maoni...Mada ijayo ihusu aina za upauaji na tathmini yake kulimganisha na aina nyingine
Karibu ujifunze mengi zaidi
Binafsi nimejenga nyumba yangu maeneo ya Njombe ambako nadhani kuna baridi kali kuliko eneo lolote hapa Tanzania. Nimeipenda Mada yako ya leo kwa sababu na mimi ni mmoja wa waathirika wa baridi kali. Swali langu; Pump za Joto hupatikana wapi hapa Tanzania? Je, zinahitaji utaalamu wa kuzifunga au kuna manual ambayo ni self-explanatory kuzifunga? In short nahitaji sana hii kitu hasa miezi ya 5, 6, 7 na 8 kunakuwa na baridi kali sana Njombe utadhani tupo Europe.7.
(G)Paa,kwenye paa yafuatayo ni Muhimu.
-Matilio ya paa: Mbao na Vigae ,Nyasi,na Zege ni bora zaidi.-Ukitumia bati basi ziwe za Resin-Ukitumia bati za IT au kawaida basi geji iwe kubwa.-Dari: uwepo wake husaidia kutunza joto.-ziba mapengo yote kati ya kuta na bati.-Paka bati hata rangi nyeusi kama unaishi Mwakaleri.8.
(H) Mandhari, kuzunguka jengo.
-Karibu na Jengo,Eneo la Pavement liwe kubwa kuliko Nyasi,maua
-Panda miti ya kuzuia upepo.
-Ondoa Canopy:Ruhusu mwanga uingie ndani ulete joto.
(I) Samani
-Samani ziwe nyingi ndani ya Jengo
-Pazia za dirishani ziwe ndefu mpaka sakafuni.
9.NJIA ZA UMEME
hizi ni njia ambazo mashine hutumika kuzalisha joto,japo kwa Tanzania hizi njia siyo maarufu kwa Tanzania.
-Furnance,Pump za joto na Boiler hutumika.
10.Uchaguzi wa njia ipi ya kutumia,hutegemeana na Aina ya baridi,na kipato.
-Kuna maeneo yenye Baridi Kavu:Hapa maeneo yenye asili ya ukame
Mf.Tabora,Dodoma na Singida.
-Maeneo yenye Baridi Nyevu;Hapa ni maeneo yaliyo kwenye miinuko na Milima.
Mf.Mbeya,Njombe,Lushoto,Rombo,Arusha mjini,Moshi ,Iringana Babati.
Nakaribisha maswali na maoni.
Pendekezeni mada ijayo.
Asante kwa kuipenda Makala hii,,,usiache kupitia Makala nyingine nilizo ziandaa,nina uhakika zitakusaidia pia.Binafsi nimejenga nyumba yangu maeneo ya Njombe ambako nadhani kuna baridi kali kuliko eneo lolote hapa Tanzania. Nimeipenda Mada yako ya leo kwa sababu na mimi ni mmoja wa waathirika wa baridi kali. Swali langu; Pump za Joto hupatikana wapi hapa Tanzania? Je, zinahitaji utaalamu wa kuzifunga au kuna manual ambayo ni self-explanatory kuzifunga? In short nahitaji sana hii kitu hasa miezi ya 5, 6, 7 na 8 kunakuwa na baridi kali sana Njombe utadhani tupo Europe.
Kabla ya kuweka mfumo wa Mashine za kuzalisha joto,ni muhimu ukaiandaa nyumba yako kwa ajili ya mfumo huo.Binafsi nimejenga nyumba yangu maeneo ya Njombe ambako nadhani kuna baridi kali kuliko eneo lolote hapa Tanzania. Nimeipenda Mada yako ya leo kwa sababu na mimi ni mmoja wa waathirika wa baridi kali. Swali langu; Pump za Joto hupatikana wapi hapa Tanzania? Je, zinahitaji utaalamu wa kuzifunga au kuna manual ambayo ni self-explanatory kuzifunga? In short nahitaji sana hii kitu hasa miezi ya 5, 6, 7 na 8 kunakuwa na baridi kali sana Njombe utadhani tupo Europe.
Mashine zipo.Binafsi nimejenga nyumba yangu maeneo ya Njombe ambako nadhani kuna baridi kali kuliko eneo lolote hapa Tanzania. Nimeipenda Mada yako ya leo kwa sababu na mimi ni mmoja wa waathirika wa baridi kali. Swali langu; Pump za Joto hupatikana wapi hapa Tanzania? Je, zinahitaji utaalamu wa kuzifunga au kuna manual ambayo ni self-explanatory kuzifunga? In short nahitaji sana hii kitu hasa miezi ya 5, 6, 7 na 8 kunakuwa na baridi kali sana Njombe utadhani tupo Europe.
1. Hiyo ya mwisho ni hatari. Rangi za mafuta hazifai kwa sababu zinachangia moto na moshi wake una sumu.MAKALA YA 5Karibuni katika Makala yetu ya kila wiki, leo tunaangazia kwenye kukabiliana na Baridi kwenye jengo.
Kwa wale wa Njombe, Ruvuma, Mbeya, Kagera, Arusha, Iringa, Singida, Kilimanjaro, Lushoto, Dodoma na Tabora sogeeni karibu.
1. Hali joto stahiki kwenye jengo lenye kuupa mwili starehe ni 20⁰C hadi 25⁰C.
-Kuna njia kuu 2 za kushusha Baridi kwenye jengo.
-Njia za za Kimakanika na Njia za Umeme.
2. Njia za KIMAKANIKA
(A)Muundo wa Jengo: hapa muundo mzima wa jengo husika.
-Umbo la jengo/Vyumba,umbo la mraba ni bora zaidi kuliko mstatili-mpangilio wa vyumba, mf.chumba cha kutumika usiku tu ,kikae upande wa magharibi,cha kutumika na wengi kikae kaskazini au kusini.-floor plan iliyofungwa(closed floor plan);usiige ramani za Dar, ambapo sebure kwenda dinning hadi jikoni hamna kuta.
3. (B)Kuta
-Kuta Nene: Ukuta unatakiwa uwe na unene kuanzia MM 230.Ukuta mnene hutunza joto.-Matilio ya Kuta ,kuta za tofali za udongo ni bora katika kutunza joto kuliko kuta za mchanga-Kuta mbili ,badala ya kuwa na ukuta mmoja ,ziwe zinajengwa mbili ambapo kutakuwa na nafasi kati.4. (C)Madirisha
-Matilio;madirisha ya frem za mbao na Panel za vioo ni bora kuliko ya Aluminium.-Panel nyingi za vioo:vioo huzuia joto,panel zikiwa mbili au tatu husaidia zaidi.-ukubwa wa Dirisha,lisizidi upana wa 1.5.-uelekeo wa madirisha,mengi yawe upande wa kusini na kaskazini.-Madirisha,vioo vishikwe kwa gasket kuzia baridi kupenya.5. (D) Milango,kwenye milango hakikisha.
-Milango owe ya mbao.-Milango iwe na Jamb: hapa ni Milango ya kuingilia kwenye nyumba, chini kuwe na kimbao ambapo ukifunga mlango, iwe ina zina uwazi wa chini.-Mlango ukiwa na panel ya kioo,basi kiwe kinene6.(E) Sakafu
-matilio ya mbao na Kapeti ni bora zaidi.-Tabaka la matilio ;baada ya kujaza kifusi na kuweka mawe,ni vyema kumwaga zege nayo itasaidia baridi la ardhini kuchelewa kupanda juu.(F) Finishing
-
- -Vyema kuta zikapigwa plasta na Skimming
- -Rangi za joto: husaidia kumfanya mtu haisi kuna joto ndani ya chumba husika
- Mf.Rangi ya Orange,Njano au Nyekundu.
- -Rangi za mafuta ni bora kuliko za maji.
Kuhusu Rangi1. Hiyo ya mwisho ni hatari. Rangi za mafuta hazifai kwa sababu zinachangia moto na moshi wake una sumu.
2. Aidha, ungetoa sababu za mwelekeo wa nyumba.
3. Panel nyingi za vioo zinasaidiaje? Vioo vinazuiaje joto?
4. Kuta mbili haimaanishi ujenge kuta mbili za nchi 9 9. Aidha, ni muhimu vile kujua utaweka nini katika ule uwazi kati ya kuta.
5. Aina ya paa nayo ni muhimu. Tujifunze kwa wagogo na tembe zao.
Amandla...
-Tanzania ipo 6⁰ Kusini mwa Ikweta, So jua jingi kwa mwaka tunapata kutoka upande wa kaskazini. Then upande wa kusini unafuata.1. Hiyo ya mwisho ni hatari. Rangi za mafuta hazifai kwa sababu zinachangia moto na moshi wake una sumu.
2. Aidha, ungetoa sababu za mwelekeo wa nyumba.
3. Panel nyingi za vioo zinasaidiaje? Vioo vinazuiaje joto?
4. Kuta mbili haimaanishi ujenge kuta mbili za nchi 9 9. Aidha, ni muhimu vile kujua utaweka nini katika ule uwazi kati ya kuta.
5. Aina ya paa nayo ni muhimu. Tujifunze kwa wagogo na tembe zao.
Amandla...
1. Sikuzungumzia asbestos kwenye rangi. Rangi za mafuta zina VOC ( Volatile Organic Compounds) na ingredients nyingine zinazoweza kusababisha cancer mtu ukiwa exposed nayo ndio maana kuna majimbo Marekani yamepiga marufuku na matumizi yake yanakuwa phased out. Nisichokielewa ni kwa nini unadai kuwa oil paints zinasasaidia kupunguza baridi ndani ya nyumba.Kuhusu Rangi
-Teknolojia ya kutengeneza Rangi ,kwasasa ni imeboreshwa zaidi.Mwanzoni walikuwa wataumia Asbestos ambayo ni sumu.
Kuhusu Vioo
-vioo ni kipitisho kigumu cha joto
-kioo Kadri kinavyoongezeka unene,ndiyo joto inavyozidi kuwa ngumu kupenya
-Vioo vikiwa viwili au zaidi na nafasi kati hapo unazuia joto kwa njia ya Mpitisho pamoja na Mnururisho...
Kuhusu kuta mbili
-Kuta ya kwanza inaanzia na kati nafasi halafu kuta nyingine inafuata.
-Hapo unazuia joto kwa njia za mnururisho na mpitisho.
-Hii ni bora kuliko kuta kuungana
Kama ilivyotengenezwa chupa ya chai.
Kuhusu aina ya paa
1.Matilio ya paa
-Vigae vya mbao,udongo na zege ni bora
-Lakini Bati inategemeana na geji na matilio ya bati.
2.Paa iwe ya kulala ama mgongo wa tembo ,kwenye upotevu wa joto zafanana
Pitia topic
Specific heat of materials
Thermal lags
Double walls
Multi Panel windows.
kwanza umepitia rejea nilizokupa ukasome, mana mi huwa siyo mtu wa kubishana.1. Sikuzungumzia asbestos kwenye rangi. Rangi za mafuta zina VOC ( Volatile Organic Compounds) na ingredients nyingine zinazoweza kusababisha cancer mtu ukiwa exposed nayo ndio maana kuna majimbo Marekani yamepiga marufuku na matumizi yake yanakuwa phased out. Nisichokielewa ni kwa nini unadai kuwa oil paints zinasasaidia kupunguza baridi ndani ya nyumba.
2. Kioo kinaruhusu mionzi ya joto (infra red rays) pamoja na rays nyingine kuingia lakini haviruhusu IR kurudi tena nje na hivyo kuongeza joto ndani ya chumba. Hii inaitwa Greenhouse effect. Unene wa kioo hauna impact kubwa katika kupunguza heat transfer. K.m. kioo chenye unene wa 0.7 inch kinapunguza heat loss kwa asilimia 0.1 ukilinganisha na kioo chenye unene wa 0.1 inch. Na kumbuka kioo kinene ni kizito zaidi na hivyo kukifanya kuwa kigumu kukiweka kwenye shata.
3. Double glazed ( vioo viwili vyenye nafasi kati yake) ni bora zaidi katika kupunguza upoteaji wa joto ya ndani ya nyumba ( vinapunguza upoteaji huo kwa asilimia 80 ukilinganisha na kioo kimoja chenye unene unaofanana). Siku hizi hiyo nafasi ya kati inajazwa gesi ili kupunguza zaidi upotevu wa joto. Triple glazed glasses zinatumika kwenye maeneo yenye baridi kali ambayo hayapo Tanzania.
4. Kingine cha kuzingatia katika utengenezaji wa madirisha ni kutokuwa na nafasi zinazopenyeza hewa dirisha likifungwa. Lakini unatakiwa kuzingatia kuwa ni muhimu sana kwa hewa fresh kuingia ndani ya nyumba hivyo 100 sealing haiwi recommended.
5. Ujenzi wa kuta mbili unaitwa "cavity wall construction" kwa sababu ya ile gap ( inchi mbili hivi) inayokuwepo kati ya kuta. Kuta hizi zinaunganishwa na "ties". Ujenzi wa kuta hizi unahitaji umakini sana kuhakikisha mortar na takataka nyingine hazidumbukii katika hiyo nafasi na hivyo kutengeneza daraja la ku transfer joto na umande kati ya hizo kuta mbili. Siku hizi hizo gap zinajazwa na insulating materials. Kwa vile ni ujenzi ambao haujazoeleka Tanzania utapata taabu sana katika ufungaji wa madirisha na milango. Cavity walls zinatumika kwenye kuta za nje tu.
6. Kitu muhimu katika paa sio aina ya bati bali insulation inayowekwa chini yake ili kuzuia upotevu wa joto. Insulation ni nzuri vile vile kwenye nyumba zilizokuwa air conditioned. Insulation iwe na unene wa kati ya sm 5 na 10. Hizi bidhaa zinapatikana Tanzania.
7. Kama umejenga kwa zege, ni vizuru vile vile kuweka insulation.
Amandla...
Mimi sibishani. Ninapenda sana kujifunza lakini kwa bahati mbaya hauna cha kunifundisha. Ningekuamini zaidi kama ungenitajia vitabu vinavyohusu ujenzi katika maeneo ya baridi na sio kunitaka nisome kuhusu specific heat (capacity) ya materials na latitudes na longitudes! Sadly, umecram tuu vitu bila kuvielewa.kwanza umepitia rejea nilizokupa ukasome, mana mi huwa siyo mtu wa kubishana.
1.V.O.C hupatikana katika matilio nyingi ndani ya nyumba kuliko Rangi .1. Sikuzungumzia asbestos kwenye rangi. Rangi za mafuta zina VOC ( Volatile Organic Compounds) na ingredients nyingine zinazoweza kusababisha cancer mtu ukiwa exposed nayo ndio maana kuna majimbo Marekani yamepiga marufuku na matumizi yake yanakuwa phased out. Nisichokielewa ni kwa nini unadai kuwa oil paints zinasasaidia kupunguza baridi ndani ya nyumba.
2. Kioo kinaruhusu mionzi ya joto (infra red rays) pamoja na rays nyingine kuingia lakini haviruhusu IR kurudi tena nje na hivyo kuongeza joto ndani ya chumba. Hii inaitwa Greenhouse effect. Unene wa kioo hauna impact kubwa katika kupunguza heat transfer. K.m. kioo chenye unene wa 0.7 inch kinapunguza heat loss kwa asilimia 0.1 ukilinganisha na kioo chenye unene wa 0.1 inch. Na kumbuka kioo kinene ni kizito zaidi na hivyo kukifanya kuwa kigumu kukiweka kwenye shata.
3. Double glazed ( vioo viwili vyenye nafasi kati yake) ni bora zaidi katika kupunguza upoteaji wa joto ya ndani ya nyumba ( vinapunguza upoteaji huo kwa asilimia 80 ukilinganisha na kioo kimoja chenye unene unaofanana). Siku hizi hiyo nafasi ya kati inajazwa gesi ili kupunguza zaidi upotevu wa joto. Triple glazed glasses zinatumika kwenye maeneo yenye baridi kali ambayo hayapo Tanzania.
4. Kingine cha kuzingatia katika utengenezaji wa madirisha ni kutokuwa na nafasi zinazopenyeza hewa dirisha likifungwa. Lakini unatakiwa kuzingatia kuwa ni muhimu sana kwa hewa fresh kuingia ndani ya nyumba hivyo 100 sealing haiwi recommended.
5. Ujenzi wa kuta mbili unaitwa "cavity wall construction" kwa sababu ya ile gap ( inchi mbili hivi) inayokuwepo kati ya kuta. Kuta hizi zinaunganishwa na "ties". Ujenzi wa kuta hizi unahitaji umakini sana kuhakikisha mortar na takataka nyingine hazidumbukii katika hiyo nafasi na hivyo kutengeneza daraja la ku transfer joto na umande kati ya hizo kuta mbili. Siku hizi hizo gap zinajazwa na insulating materials. Kwa vile ni ujenzi ambao haujazoeleka Tanzania utapata taabu sana katika ufungaji wa madirisha na milango. Cavity walls zinatumika kwenye kuta za nje tu.
6. Kitu muhimu katika paa sio aina ya bati bali insulation inayowekwa chini yake ili kuzuia upotevu wa joto. Insulation ni nzuri vile vile kwenye nyumba zilizokuwa air conditioned. Insulation iwe na unene wa kati ya sm 5 na 10. Hizi bidhaa zinapatikana Tanzania.
7. Kama umejenga kwa zege, ni vizuru vile vile kuweka insulation.
Amandla...
2.Kioo...1. Sikuzungumzia asbestos kwenye rangi. Rangi za mafuta zina VOC ( Volatile Organic Compounds) na ingredients nyingine zinazoweza kusababisha cancer mtu ukiwa exposed nayo ndio maana kuna majimbo Marekani yamepiga marufuku na matumizi yake yanakuwa phased out. Nisichokielewa ni kwa nini unadai kuwa oil paints zinasasaidia kupunguza baridi ndani ya nyumba.
2. Kioo kinaruhusu mionzi ya joto (infra red rays) pamoja na rays nyingine kuingia lakini haviruhusu IR kurudi tena nje na hivyo kuongeza joto ndani ya chumba. Hii inaitwa Greenhouse effect. Unene wa kioo hauna impact kubwa katika kupunguza heat transfer. K.m. kioo chenye unene wa 0.7 inch kinapunguza heat loss kwa asilimia 0.1 ukilinganisha na kioo chenye unene wa 0.1 inch. Na kumbuka kioo kinene ni kizito zaidi na hivyo kukifanya kuwa kigumu kukiweka kwenye shata.
3. Double glazed ( vioo viwili vyenye nafasi kati yake) ni bora zaidi katika kupunguza upoteaji wa joto ya ndani ya nyumba ( vinapunguza upoteaji huo kwa asilimia 80 ukilinganisha na kioo kimoja chenye unene unaofanana). Siku hizi hiyo nafasi ya kati inajazwa gesi ili kupunguza zaidi upotevu wa joto. Triple glazed glasses zinatumika kwenye maeneo yenye baridi kali ambayo hayapo Tanzania.
4. Kingine cha kuzingatia katika utengenezaji wa madirisha ni kutokuwa na nafasi zinazopenyeza hewa dirisha likifungwa. Lakini unatakiwa kuzingatia kuwa ni muhimu sana kwa hewa fresh kuingia ndani ya nyumba hivyo 100 sealing haiwi recommended.
5. Ujenzi wa kuta mbili unaitwa "cavity wall construction" kwa sababu ya ile gap ( inchi mbili hivi) inayokuwepo kati ya kuta. Kuta hizi zinaunganishwa na "ties". Ujenzi wa kuta hizi unahitaji umakini sana kuhakikisha mortar na takataka nyingine hazidumbukii katika hiyo nafasi na hivyo kutengeneza daraja la ku transfer joto na umande kati ya hizo kuta mbili. Siku hizi hizo gap zinajazwa na insulating materials. Kwa vile ni ujenzi ambao haujazoeleka Tanzania utapata taabu sana katika ufungaji wa madirisha na milango. Cavity walls zinatumika kwenye kuta za nje tu.
6. Kitu muhimu katika paa sio aina ya bati bali insulation inayowekwa chini yake ili kuzuia upotevu wa joto. Insulation ni nzuri vile vile kwenye nyumba zilizokuwa air conditioned. Insulation iwe na unene wa kati ya sm 5 na 10. Hizi bidhaa zinapatikana Tanzania.
7. Kama umejenga kwa zege, ni vizuru vile vile kuweka insulation.
Amandla...
Sijui unazungumzia heat pump za aina gani. Vitu muhimu vya kuzingatia ni kubwa ( volume) ya eneo unalotaka kuliongezea joto, idadi, ukubwa na aina ya madirisha na kiasi cha baridi kilicho nje ( sio ndani unavyosema). Heat pump inavuna joto kutoka hewa ya nje ambayo inakuwa compressed kuiongezea joto kabla ya kusambazwa ndani. Sina uzoefu na portable heat pumps kwa hiyo siwezi kuzizungumzia. Kitu kingine muhimu sana kujua ni kiasi gani nyumba yako imekuwa insulated ili kuhakikisha hewa yenye joto haipenyi kwenda nje.Mashine zipo.
Kuna mashine Portable na Za kufunga ukutani.
-Za kufunga ukutani, utahitaji mtaalam, maana zitahitaji
1.kuunganishwa na mfumo wa umeme
2.location nzuri ya kuziweka ili kusambaza joto vizuri.
-Huu mfumo ni gharama ,kuanzia 700,000 na kuendelea.
-Portable ni zinabebeka kama ilivyofeni
-hazina nguvu kama za ukutani
-Haziitaji utaalam
-unachomeka waya kwenye extension cable
Ila unahitaji kujua Room Temperature ya ndani ya vyumba vyako.
Ili ujue ipi itafaa zaidi
Cavity wall kuwa na Tiers ,hizo ni ishu za structure, mimi natoa mapendekezo kwa ufupi.1. Sikuzungumzia asbestos kwenye rangi. Rangi za mafuta zina VOC ( Volatile Organic Compounds) na ingredients nyingine zinazoweza kusababisha cancer mtu ukiwa exposed nayo ndio maana kuna majimbo Marekani yamepiga marufuku na matumizi yake yanakuwa phased out. Nisichokielewa ni kwa nini unadai kuwa oil paints zinasasaidia kupunguza baridi ndani ya nyumba.
2. Kioo kinaruhusu mionzi ya joto (infra red rays) pamoja na rays nyingine kuingia lakini haviruhusu IR kurudi tena nje na hivyo kuongeza joto ndani ya chumba. Hii inaitwa Greenhouse effect. Unene wa kioo hauna impact kubwa katika kupunguza heat transfer. K.m. kioo chenye unene wa 0.7 inch kinapunguza heat loss kwa asilimia 0.1 ukilinganisha na kioo chenye unene wa 0.1 inch. Na kumbuka kioo kinene ni kizito zaidi na hivyo kukifanya kuwa kigumu kukiweka kwenye shata.
3. Double glazed ( vioo viwili vyenye nafasi kati yake) ni bora zaidi katika kupunguza upoteaji wa joto ya ndani ya nyumba ( vinapunguza upoteaji huo kwa asilimia 80 ukilinganisha na kioo kimoja chenye unene unaofanana). Siku hizi hiyo nafasi ya kati inajazwa gesi ili kupunguza zaidi upotevu wa joto. Triple glazed glasses zinatumika kwenye maeneo yenye baridi kali ambayo hayapo Tanzania.
4. Kingine cha kuzingatia katika utengenezaji wa madirisha ni kutokuwa na nafasi zinazopenyeza hewa dirisha likifungwa. Lakini unatakiwa kuzingatia kuwa ni muhimu sana kwa hewa fresh kuingia ndani ya nyumba hivyo 100 sealing haiwi recommended.
5. Ujenzi wa kuta mbili unaitwa "cavity wall construction" kwa sababu ya ile gap ( inchi mbili hivi) inayokuwepo kati ya kuta. Kuta hizi zinaunganishwa na "ties". Ujenzi wa kuta hizi unahitaji umakini sana kuhakikisha mortar na takataka nyingine hazidumbukii katika hiyo nafasi na hivyo kutengeneza daraja la ku transfer joto na umande kati ya hizo kuta mbili. Siku hizi hizo gap zinajazwa na insulating materials. Kwa vile ni ujenzi ambao haujazoeleka Tanzania utapata taabu sana katika ufungaji wa madirisha na milango. Cavity walls zinatumika kwenye kuta za nje tu.
6. Kitu muhimu katika paa sio aina ya bati bali insulation inayowekwa chini yake ili kuzuia upotevu wa joto. Insulation ni nzuri vile vile kwenye nyumba zilizokuwa air conditioned. Insulation iwe na unene wa kati ya sm 5 na 10. Hizi bidhaa zinapatikana Tanzania.
7. Kama umejenga kwa zege, ni vizuru vile vile kuweka insulation.
Amandla...