PM

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,580
Jamani eeh mimi sijaandikiwa PM na shori yoyote kwa muda mrefu sasa. Mashori tafadhali naombeni mniandikie PM walau kunisabahi tu na mimi nijigambe nimetumiwa PM na shori. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
tatizo ndilo hilo mkuu,inabidi ukipata PM ukae kimya usimwambie mtu yeyote duniani. Ukiwa msiri sana utazikimbia PM waweza pata kama 10 na zaidi kwa siku.Huna haja ya KUJIGAMBA kwa kupewa PM....labda kujigamba huko kuwe kwa SIRI....aaah siunajua tena? maana ya PM private message ujumbe binafsi hatakiwi mtu yeyote duniani hapa aujue. NAHISI MKUU PM umeziwangia(umezifukuza) mwenyewe......KUWA MSIRI NI MOJA YA SIFA NZURI YA MWANAMME(SIJASEMA HUNA SIRI).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom