Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
Wadau hivi sasa PM anaulizwa maswali lakini hataki kupokea ushauri wa kiongozi wa upinzani bungeni kuhusu umeme na kasema upinzani wasubili serikali iendelee na utaratibu wake wa kuwapatia umeme watanzania kazi kweli ipo kwnye nchi hii