PLO Lumumba: Wazungu wanaichukulia Afrika kama Zoo. Hawajali utu wa watu wa Afrika

Huyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney
Wewe uliyesoma sasa hivi, tupe njia nini kifanyike tujikwamue tulipo
 
Alijipendekeza kwa jiwe kumsifia na kumpamba akitegemea teuzi.
Ni msomi lakini hana tofauti na musiba mulaga
Huyu ni mkenya. Mtu akishakuwa mpenda ujamaa we jua tayari ni nusu dikteta na mwenye ufinyu wa mawazo hata asome vipi. Hawa kazi yao huwa ni kujificha kwenye uzalendo kurubuni wajinga wengi wanaowaongoza.
 
Mtu anaepingana na rushwa na wala rushwa hawezi kuwa rafiki wa Africans ruling elites. He's a real African. An African indeed!
Ndio maana huyu jamaa huwa anawapenda watanzania. Maanake akija Tz huwa anawazingua na maneno yake mengi kisha mnaingia box kiulaini sana. Tuulizeni sisi wakenya ambaye tunamfahamu vizuri.

Patrick Loch Odhiambo(PLO) Lumumba aliteuliwa mwaka wa 2011 na rais Mwai Kibaki kama mwenyekiti wa KACC(Kenya Anti-Corruption Commission), taasisi huru ya kupambana na ufisadi. Ambayo sasa hivi Inaitwa EACC na hakujakuwepo na mtu yeyote mwingine ovyo zaidi yake kwenye historia ya uongozi wa taasisi hio.

Kwa muda wote ambao Lumumba aliongoza KACC hakuna mwanasiasa hata mmoja ambaye alifunguliwa mashtaka ya ufisadi mahakamani kupitia shirika hilo. Mbaya zaidi ni kwamba wakenya walikuwa na matumaini makubwa kwamba atafanya jambo la maana na kuandikisha rekodi mpya kwenye vita dhidi ya ufisadi.

Ila walichokichopata kutoka kwake ni mipasho tu isiyokuwa na kikomo na ahadi hewa kila siku ya wiki. Bure kabisa huyo jamaa na tangu siku hiyo wakenya huwa hawapotezi muda mwingi na hizo lecture zake za kuuza sura.
 
PLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.

Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.

Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.

Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.

MY TAKE:

Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.

View attachment 1734183
Ndugu ww fanya yako uwezavyo ukipata nafasi ya kwenda nje nenda usiwasikilize hawa watu wana mameno matamu mdomoni mwao ila ni vinafiki hivi vibaraka wa wazungu
 
Ndio maana huyu jamaa huwa anawapenda watanzania. Maanake akija Tz huwa anawazingua na maneno yake mengi kisha mnaingia box kiulaini sana. Tuulizeni sisi wakenya ambaye tunamfahamu vizuri.

Patrick Loch Odhiambo(PLO) Lumumba aliteuliwa mwaka wa 2011 na rais Mwai Kibaki kama mwenyekiti wa KACC(Kenya Anti-Corruption Commission), taasisi huru ya kupambana na ufisadi. Ambayo sasa hivi Inaitwa EACC na hakujakuwepo na mtu yeyote mwingine ovyo zaidi yake kwenye historia ya uongozi wa taasisi hio.

Kwa muda wote ambao Lumumba aliongoza KACC hakuna mwanasiasa hata mmoja ambaye alifunguliwa mashtaka ya ufisadi mahakamani kupitia shirika hilo. Mbaya zaidi ni kwamba wakenya walikuwa na matumaini makubwa kwamba atafanya jambo la maana na kuandikisha rekodi mpya kwenye vita dhidi ya ufisadi.

Ila walichokichopata kutoka kwake ni mipasho tu isiyokuwa na kikomo na ahadi hewa kila siku ya wiki. Bure kabisa huyo jamaa na tangu siku hiyo wakenya huwa hawapotezi muda mwingi na hizo lecture zake za kuuza sura.
Tapeli wa siasa. Ni aibu hadi leo mtu hadi leo bado anawaza ukoloni tu na kuwasimanga wazungu alafu akipewa kazi inamshinda . Dunia haipo fair ukiwa laini utaliwa tu, tulianza na wazungu sasa hivi wapo wachina pia. Waafrika tunapenda sana kuonewa huruma kitu ambacho hakipo kwenye dunia halisi.
 
PLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.

Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.

Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.

Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.

MY TAKE:

Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.

View attachment 1734183
Huyu PLO ni mtu wa ovyo tu, anadhani kuonyesha chuki dhidi ya wazungu kutatufanya sisi waafrika tusonge mbele.

Ukimfuatilia utaona anatumia smart phone, yuko busy mtandaoni, anakwea pipa kuruka nchi na nchi, anaendesha ndinga kali, anamiliki Lap top ya kisasa, nyumbani kwake amefunga Tv ya kisasa, anatupia Suti za mamtoni, mkononi amevaa saa brand za mbele sana nk. Halafu anajifanya hawapendi wazungu.
 
Rafiki yake alietutoka huku Tanzania kwa miaka mingi alikuwa anaishi kwa hisani ya teknolojia ya mzungu lakini nae pia alikuwa anawachukia wazungu kupitia mlango wa uzalendo.
 
Wazungu hawana msaada wowote kwa Afrika, PLO yuko sahihi. Fanya analysis vizuri utagundua anachokisimamia kina ukweli mwingi. Whites ndio waliochangia Afrika kushindwa kuendelea.

Wazungu ukiwauliza KWANINI AFRIKA NI MASKINI wanakupa sababu nyepesi eti sababu ya idadi kubwa ya watu(Mbona Eastern Countries kama China na India population ni kubwa na ziko developed,mbona hiyo USA yenyewe iko na population kubwa na iko developed?)

Wazungu ndio walioleta sera za kimataifa ambazo hazina urafiki na nchi maskini za Kiafrika...tazama masharti yao ya ushirikiano wa kiuchumi hayana nia njema mostly!!!
Unataka Msaada kutoka kwa Wazungu? swali fikirishi sana... Upumbavu huu unahitaji kupimwa Mkojo! Umuulize Mzungu kwanini wewe ni Masikini? hivi hapo ulipo upo sober au?

Tuache kuuliza maswali hadi mtu ajue huna akili au wewe ni Omba omba fanya kazi upate kipato bora uendelee
 
PLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.

Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.

Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.

Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.

MY TAKE:

Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.

View attachment 1734183
Wazungu na Ndovu wapi na wapi walishaacha kitambo sana anaogopa kuwasema Wachina? haya ndio yle aliyosema Lema Elimu bila akili...

Kama anawaonea gere wazungu kuja africa kulipa pesa kibao kutizama Ndovu basi aingie msituni akawauwe wote ili wazungu wakome kuja...
 
Huyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney
Soma aya ya mwisho ya mleta mada jamaa kasemea mtatizo yetu pia na mtoa mada akatoa maoni yake pia hapo mwishon

Mbona tunakuwa judgemental sana bila kusoma kwa umakini
 
Huwa nachukia hizi pumba za kulaumu wazungu, ukiwa mzembe utalaumu kila kitu.
Pambana bana, chakarika, ng'oa visiki, zibua, chimbua...nenda mbele kwa mbele...utaweza...utafaulu
 
Huyu profesa jana alikuwa uganda ktk mahojiano na Nbstv walikuwa na mada magufulificationn in E Africa ....
Sasa bwawa akatoa boko eti akadai M7 atumie ukongwe wake awaongoze viongoz wengine wa E africa kufikia SD ...ebwana eh twitter wa UG walimjia juu prof
 
Alijipendekeza kwa jiwe kumsifia na kumpamba akitegemea teuzi.
Ni msomi lakini hana tofauti na musiba mulaga

huyo mkenya na teuzi za magu wapi na wapi!!!

nyie ndio mnawahi stand tiketi mmefungia nyumbani.
 
Huyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney

nawewe ni zao lipi!!
 
Back
Top Bottom