15 November 2025
View: https://m.youtube.com/watch?v=taaPPz2Df0Y
Prof. PLO Lumumba achambua kuhusu washauri wahuni, machawa wanaosema Mama usisikilize kelele za vijana GenZ, vijana hao GenZ ni genge lisilojielewa, wababaishaji, hawajui wanadai nini, watapoa tu, 912 hawatatokea katika maandamano, wasikutishe Mama na kelele zao ktk mitandao n.k
Achambua uwezekano wa Tanzania kutengwa kimataifa, Samia Hassan kushindwa kusafiri nje ya mipaka ya Tanzania, aonya Mapinduzi Tanzania, sera ya Museveni kujitanua hadi Bahari ya Hindi, kutepeta kwa Diplomasia ya Kenya.
View: https://m.youtube.com/watch?v=taaPPz2Df0Y
Prof. PLO Lumumba achambua kuhusu washauri wahuni, machawa wanaosema Mama usisikilize kelele za vijana GenZ, vijana hao GenZ ni genge lisilojielewa, wababaishaji, hawajui wanadai nini, watapoa tu, 912 hawatatokea katika maandamano, wasikutishe Mama na kelele zao ktk mitandao n.k
Achambua uwezekano wa Tanzania kutengwa kimataifa, Samia Hassan kushindwa kusafiri nje ya mipaka ya Tanzania, aonya Mapinduzi Tanzania, sera ya Museveni kujitanua hadi Bahari ya Hindi, kutepeta kwa Diplomasia ya Kenya.