miss nora
Member
- Mar 25, 2011
- 13
- 7
Jamanni nimerudi tena na matatizo yangu,,hili janaume linataka roho yangu sasa, coz anafika mbali mpaka wageni na ndugu zangu sasa anawatongoza..me nimefika mwisho, nishaurini tena,, nafikiria kuachana nae lakini nitaanzia wapi maisha na ukiangalia nasimamia biashara zetu . lakini sasa natafuta jinsi ya kuishi nae katika hii situation. Umalaya wke nimeushuhudia sana na hata nikimkamata na sms or emails, hajali anazikana na ushahidi ukiwa wazi anasema sielew usemacho, naweza kumfanyia uhuni wa mwaka lakini nikifikiria tulipotoka namuhurumia coz tumefight sana mpaka hapa tulipo nitakuwa pia nimemwaribia future zake.
Hapa jirani na nyumbani kuna kaka mmoja ambae kwa jinsi alivyonieleza familia yake ipo mkoa mwingine. Yeye yupo huku kikazi ana kama mwaka mmoja,kiukweli huyu kaka anaonyesha kunijali sana japo hajanitamkia chochote ila anaonyesha kunijali coz mara nyingi ananialika lunch sometimes outing na zawadi. lakini hajanitamkia lolote na wala mimi sijamweleza matatizo niliyonayo kwenye ndoa yangu.
Wanawake wenzangu nishaurini nijiingize katika mahusiano na huyu kaka tupeane kampany ili maisha yangu ya ndoa yaendelee niwe na mtu wakumfikiria niachane na kumfatilia huyu baba au nifanyeje ili nihandle --- hii life style?? Coz mume ndo hivyo kawa fataki, siwezi kumbadilisha hata kidogo.leo asubuhi kanishusha bara barani nikatembea kwa mguu mpaka kazini kisa naongea na simu na mama yangu mdogo hataki niongee na ndugu zangu wala niwe na marafiki.
Hapa jirani na nyumbani kuna kaka mmoja ambae kwa jinsi alivyonieleza familia yake ipo mkoa mwingine. Yeye yupo huku kikazi ana kama mwaka mmoja,kiukweli huyu kaka anaonyesha kunijali sana japo hajanitamkia chochote ila anaonyesha kunijali coz mara nyingi ananialika lunch sometimes outing na zawadi. lakini hajanitamkia lolote na wala mimi sijamweleza matatizo niliyonayo kwenye ndoa yangu.
Wanawake wenzangu nishaurini nijiingize katika mahusiano na huyu kaka tupeane kampany ili maisha yangu ya ndoa yaendelee niwe na mtu wakumfikiria niachane na kumfatilia huyu baba au nifanyeje ili nihandle --- hii life style?? Coz mume ndo hivyo kawa fataki, siwezi kumbadilisha hata kidogo.leo asubuhi kanishusha bara barani nikatembea kwa mguu mpaka kazini kisa naongea na simu na mama yangu mdogo hataki niongee na ndugu zangu wala niwe na marafiki.