Achana na huyo mwanaume kama habadiliki.
Point to noteNaombeni mnaochangie mzingatie haya.
3. kaka wa jirani anamjali huyu mke wa mtu, moyoni huyu dada anampenda- Upendo wa huyu dada kwa huyu kaka ni mzito kuliko kwa mumuwe.
Uyu waleshiligue kisumba uyu Mayu !Sika nankanda!<br />
<br />
umemwambia neno la maana, afuate matakwa ya moyo wake, kwani hatimaye ni yeye ndiye atawajibika iwe kwa zuri ama baya, kuhusu ushauri akumbuke kuwa mshauri ajapotoa wa mzuri asipolenga matamanio ya ashauriwaye basi ni heri kulishauri jiwe maayu!
Naombeni mnaochangie mzingatie haya.
1. Mume ni Fataki- Kwahiyo mke hampendi.
2. Mume amemshusha mke Njiani kisa naongea na familia- Mume hampendi mke.
3. kaka wa jirani anamjali huyu mke wa mtu, moyoni huyu dada anampenda- Upendo wa huyu dada kwa huyu kaka ni mzito kuliko kwa mumuwe.
Mchango wangu naogopa kuotoa kwasababu nikizingatia hayo yote naweza kuandika kitabu
<font color="#222222"><span style="font-family: Times New Roman"><font size="3"><span style="font-family: Times New Roman"><br />
Jamanni nimerudi tena na matatizo yangu,, <u>hili janaume linataka roho yangu sasa</u> (<b><font color="#ff0000">kwanza badilika kwani tayari umeshaonyesha ni kiasi gani unamdharau mumeo ambaye unatakiwa uwe mstari wa mbele kumheshimu/ kuheshimiana nae</font></b>), coz anafika mbali mpaka wageni na ndugu zangu sasa anawatongoza..me nimefika mwisho, nishaurini tena,,<u> nafikiria kuachana nae </u>( <font color="#ff0000">unafikiria wewe kama wewe .. je umehusisha wasimamizi wenu katika suala hili?? je huwa mnakaa na mmeo kujadili do and dont's)</font>lakini nitaanzia wapi maisha na ukiangalia nasimamia biashara zetu . lakini sasa natafuta jinsi ya kuishi nae katika hii situation. Umalaya wke nimeushuhudia sana na hata<u> nikimkamata na sms or emails, hajali anazikana na ushahidi ukiwa wazi anasema sielew usemacho(</u> <font color="#ff0000">kumkamata na sms, email etc .. si kithibitisho isipokuwa unatakiwa uelewe ni jinsi gani ya kuongea na mwenzako uone hivyo vitu vinakukera) </font>, naweza<u> kumfanyia uhuni wa mwaka(</u> <font color="#ff0000">huo uhuni unadhani ndo utakaokusaidia kumfanya mumeo atulie au ndo inaweza kukuza tatizo???)</font> lakini nikifikiria tulipotoka namuhurumia coz tumefight sana mpaka hapa tulipo <u>nitakuwa pia nimemwaribia future zake.<font color="#ff0000">(wote kiujumla mtakuwa mmeumizana na kuhalibiana mambo yajayo ... mtabaki na kovu la mahusiano au ndoa yenu))</font></u></span></font><br />
<font size="3"><span style="font-family: Times New Roman">Hapa jirani na nyumbani kuna <u>kaka mmoja ambae kwa jinsi alivyonieleza familia yake ipo mkoa mwingine <font color="#ff0000">(</font></u><font color="#ff0000"> tayari mawazo yako yamekupeleka kuzidi kuharibu ndoa yako kwa kutoka nje ili kuweza kutimiza tamaa ya mwili ya muda mfupi)</font>. Yeye yupo huku kikazi ana kama mwaka mmoja<u>,kiukweli huyu kaka anaonyesha kunijali sana japo hajanitamkia chochote <font color="#ff0000">(</font></u><font color="#ff0000"> hapo ulipo unalalamika kwa kutendwa na mumeo kwa nini unataka na wewe kumtenda mwanamke mwenzio kwa kumchukulia mmewe .. je utakuwa unajenga au kubomoa???) </font>ila <u>anaonyesha kunijali coz mara nyingi ananialika lunch sometimes outing na zawadi</u> (<font color="#ff0000">je kwako tatizo ni lunch na zawadi.. kwa nini usitoke na mmeo hata kwa kidogo ulichonacho???)</font>. lakini hajanitamkia lolote na wala mimi sijamweleza matatizo niliyonayo kwenye ndoa yangu.</span></font><br />
<font size="3"><span style="font-family: Times New Roman">Wanawake wenzangu<u> nishaurini nijiingize katika mahusiano na huyu kaka tupeane kampany <font color="#ff0000">(</font></u><font color="#ff0000"> kwa nini ujiingize kwa mme wa mtu kama wa kwako unashindwa kumhandle??) </font>ili <u>maisha yangu ya ndoa yaendelee (</u><font color="#ff0000">hayo hayatakuwa maisha ya ndoa .. yatakuwa maisha ya uzinz)</font> niwe na mtu wakumfikiria niachane na kumfatilia huyu baba au nifanyeje ili nihandle --- hii life style?? Coz mume ndo hivyo kawa fataki, siwezi kumbadilisha hata kidogo.leo asubuhi kanishusha bara barani nikatembea kwa mguu mpaka kazini kisa naongea na simu na mama yangu mdogo hataki niongee na ndugu zangu wala niwe na marafiki.</span></font><br />
</span></font>
me nimefika mwisho, nishaurini tena,, naweza kumfanyia uhuni wa mwaka lakini nikifikiria tulipotoka namuhurumia coz tumefight sana mpaka hapa tulipo nitakuwa pia nimemwaribia future zake. siwezi kumbadilisha hata kidogo.
hataki niongee na ndugu zangu wala niwe na marafiki.