mi nachowapendea WAUME ZANGU!Pumbavvvvvv mwanaume gani unajiliza kibwege namna hiyo kisa mwanamke?
HAKYAMAMA HATA KAMA HUYO DANIEL ASINGEKUWA NA HELA,SURA NZURI,SIJUI AKO VIZURI PHYSICALLY walahi mwanaume wa aina hiii!
PTUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU sitaki hata bure!
WE Vipppppppppp?
DAADEKI ZAKO!
unalia lia hapa unafkiri mwanamke anataka kuliliwa!
SIMAMA KIUME WEWE!
MWANAUME MWENZIO MWENYE KENGELE KAMA WEWE UNADIRIKIJE KUMWAMBIA PLEASE?UNAMLILI AKUACHIE MWANAMKE!
walahi kama species yenyewe ya wanaume ndo imekuwa hii kipindi hiki bora niendelee kuwa na kina latifa tu!
naweza nkafa walahi nikutana na mtoto wangu wa kiume anaandika makitu ya aina hii!
:frusty:
I know una uwezo wa kifedha,
u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila
sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua
demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua
kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya
kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua
umenizidi kwa vyote but please...
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...
HAKYAMAMA HATA KAMA HUYO DANIEL ASINGEKUWA NA HELA,SURA NZURI,SIJUI AKO VIZURI PHYSICALLY walahi mwanaume wa aina hiii!
PTUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU sitaki hata bure!
WE Vipppppppppp?
DAADEKI ZAKO!
unalia lia hapa unafkiri mwanamke anataka kuliliwa!
SIMAMA KIUME WEWE!
MWANAUME MWENZIO MWENYE KENGELE KAMA WEWE UNADIRIKIJE KUMWAMBIA PLEASE?UNAMLILI AKUACHIE MWANAMKE!
walahi kama species yenyewe ya wanaume ndo imekuwa hii kipindi hiki bora niendelee kuwa na kina latifa tu!
naweza nkafa walahi nikutana na mtoto wangu wa kiume anaandika makitu ya aina hii!
:frusty:
ah akwende huko!
What the heck!
...call me stupid, give me all names u can but I can never whine for a lady...if she decides to go, screw her!