Ilipoishia...
'..NIPO NJIANI NAKUJA CHUONI
KWENU KUKUCHUKUWA
TWENDE KWANGU..."
Nikaangalia mara mbili mbili kujua
imetokea wapi, nikaja kugundua
kuwa jina limeandikwa Jerry..
'
Endelea...
"..Aisha, Aisha Jerry yuko wapi..?"
Nilishtuka usingizini na kitu cha kwanza
nikumuuliza rafiki yangu Aisha,
"..nawewe Tina kwa ndoto zako za mchana
mchana tumeshakuchoka sasa, huyo Jerry ndio
nani..?" Maskini Tina mimi kumbe yote ile ilikuwa ni ndoto
eti mpaka nimekutana na mdogo wake Jerry
anaitwa Nyemo na mpaka nikamng'ang'ania
kwenda ku sex naye duh..
Nilijichekea kimoyo moyo huku nikivuta
kumbukumbu vizuri imekuwaje kuwaje ndoto hii, ndipo wazo likanijia kuwa mara ya mwisho Jerry
alinipigia simu kuwa amepata dharula mara moja
ataenda Temeke, hivyo nilikasirika nakurudi zangu
mpaka bwenini nakubadili nguo zangu kisha
nikajilaza ndipo usingizi uliponipitia nakuanza
kuoto ndoto hizi.. "..natamani ingekuwa kweli..? Mbona huyo Nyemo
angenitambua.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikichukuwa simu
yangu nakutaka kumpigia Jerry, nilihangaika
kuitafuta namba yake bila mafanikio lakini
nikakumbuka kuwa niliifuta pindi kile aliponiambia amepata dharula mara moja.
"...sasa namba yake nitaipata wapi..?"
Nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa fulani
huku muda wote Aisha akinitolea macho,
"..yeees..!! Furaha ilinirudia pale nilipokiona kikadi
chake cha ofisini alichonipa kilikuwa kimeandikwa hivi,
"..Jerry .M. Ng'onye..
Asst... Supplies officer..
Fax ; +255 265451733
Mob ; +255 713 214656 "
Nikaikopi ile namba ya simu haraka haraka kisha nikai sevu upya nakumpigia..
"..mambo Jerry.."
"..enhe niambie Tina.."
"..jamani niambie basi unatoka huko saa ngapi
mwenzakn nimeshachoka hivyo kukusubiri.."
"..unaskia Tina, wala usijali yaani swala la kuonana na wewe lipo pale pale.."
"..nikuulize kitu Jerry..?"
"..uliza tu wala usijali.."
"..umeoa..?"
"..dah nadhani mwakani ndio nampango huo
lakini kiukweli nina mchumba tu.." Moyo ukanilipuka, huku nikijihisi vinyweleo
vyangu mwilini vimesimama ama kupulizwa na
upepo wa ghafla..
"..unaishi naye huyo mwanamke.."
Nijikaza nakumuuliza kwa makusudi..
"..hapana, yeye anaishi nakufanyakazi huko huko Tanga ila mie naishi peke yangu hapa Dar.."
"..Jerry huna mdogo wako..?"
Nilimuuliza kwa makusudi,
"..mh hapana, ila nina dada tu.. Kwanini umeamua
kuniuliza hivyo..?"
"..amh, nilitaka tu kujua jamani, kwani ni vibaya Jerry..?"
"..ok, nina muda mfupi nitatoka huku Temeke,
lakini itanibidi niunganishe moja kwa moja mpaka
home nikabadili nanguo kabisa then tutatoka
usiku kwa ajili ya 'dinner'.."
Furaha iliniongezeka mara mbili nailivyokuwa, "..jamani Jerry, mbona mie niko tayari hata sasa si
unipitie tu nikapajue na kw..."
Kabla sijamaliza kuongea simu ikakata, nikajua
labda huenda Jerry amekasirika nilivyomwambia,
lakini haikuwa hivyo kwani nilipouliza salio langu
lilikuwa ni sh. 0. Nikiwa bado najishangaa na kwa muda huu rafiki
yangu Aisha alikuwa ametoka hivyo chumba chote
nilibaki peke yangu mara simu ikapigwa..
"...nitajitahidi kupambana na foleni, naanza safari
ya kuja hapo chuoni kwenu 'be prepared..'"
"..mie mbona niko tayari ni wewe tu Jerry.." **** Pedo nyeusi yenye vitundu vidogo vidogo, chini
nikiwa na viatu vya chini huku kichwani nikiwa na
wigi lakushonesha, blauzi yenye mistari ya pinki na
nyeusi mikononi nikiwa na bangiri kubwa nyeupe
na nyeusi ndivyo nilivyovalia huku nikiishikilia
pochi yangu ndogo nyeusi. Niliichukuwa simu yangu nakumpigia tena Jerry..
"..enhe niambie jamani umefika wapi..?"
"..ndio nakaribia maeneo ya Mnazi mmoja,
nikukute kwa nje basi ili iwe rahisi kuendelea na
safari.."
"..pouwa.." Giza lilikuwa limeshazama ndicho kilichonipa ujasiri
zaidi huku nikitoka nje kwa makogo yote..
Haikuchukuwa muda nikawa nimeshaonana na
Jerry, alionesha kuchoka sana kwa kazi
ukijumlisha na mizunguko,
"..mh, hapa atake asitake leo lazima alale na Tina mie.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimlegezea
macho Jerry huku akiendesha gari kuelekea
kwake,
"..enh, niambie Jerry mbona kimya ghafla.."
"..unafikiri nina usemi basi, enh embu niambie we kabila gani..?"
"..mie ni mdigo mtu wa Tanga.. Wewe je..?"
"..mie mpemba, kwani unanionaje..?"
"..ndio maana, nywele, sura na weupe ulionao
vinajitosheleza kujua.."
Stori zilinoga mpaka nikaona kama safari fupi, ilituchukuwa kama dakika 40 kufika anapoishi
Jerry,
Jerry alikuwa anaishi jumba kubwa mwenyewe na
mlinzi, tulipoingia ndani tu Jerry alipitiliza mpaka
chumbani kwake huku Tina mie akiniacha
sebuleni, "..hajanijua tu.."
Nilijisemea peke yangu huku nikiyarekebisha
maziwa yangu vizuri kisha nikainuka pale kwenye
kochi nakuongoza mpaka chumbani kwa Jerry
nakuanza kubisha hodi mpaka akafungua,
"..vipi unasemaje tena Tina..?" "..am, mh, mh plizi Jerry unaniruhusu
nikakuogeshe...?
"...anhaaa Tina embu acha utani wako huo..."
"...Jerry huniamini, au ndo unaona aibu..?"
Jerry alikuwa hajiamini amini kama Tina mie
naweza nikamuuliza maswali yale na tena nikiwa 'siriaz' kabisa..
"..nikwambie kitu Tina.."
"..yap, niambie Jerry..!"
"..nakuomba, pliiz rudi ukanisubirie sebuleni, nioge
fasta fasta tuondoke..."
Nilimwitikia kwa shingo upande huku nikijirudisha mpaka sebuleni.
Nilikaa kama dakika 2 nzima huku akili ikinihama
kabisaaa, nikaona kama Jerry anachelewa kutoka,
nikarudi tena mpaka mlango wa chumbani kwake
kumgongea.
Nilipiga hodi bila majibu yeyote mpaka nikaamua kuufungua mlango nakuingia kwani bafu na choo
kilikuwepo ndani ya chumba chake 'self
container'..
Niligonga ule mlango wake wa bafuni bila majibu
yeyote. Akili ikanituma nijilaze pale pale kitandani
kwake akitoka atanikuta na lazima kitaeleweka tu. Haikuchukuwa muda Jerry akatoka bafuni..
"..hee, Tina unafanyaje tena hapa..? Inamaana
nilivyokuambia uende sebuleni hukwenda..?"
"..aku.."
"..Tina mie nlishakwambia kuwa ninajiheshimu na
ninamchumba kwanini unanifanyia hivyo lakini..?" Jerry alilalamika mpaka nikaingiwa na moyo wa
kutoka mule chumbani..
"..Jerry wala usiwe na hofu na mie jamani, kwanza
mie mwenyewe nina mchumba na hapa nilipo na
'bleed'.."
"..sawa nimeshakuelewa Tina nenda basi sebuleni.."
Niliondoka nakumuachia uhuru Jerry ili avae
nguo..
Ndani ya dakika kama 7 tayari Jerry alikuwa
ameshavaa nguo tena amependeza, nywele zake
zilikuwa zinang'aa sana na weupe alionao ndio ulionidatisha sana Tina mie..
"..haya nipo tayari sasa Tina twende.."
"..kabla hatujaondoka Jerry pliz nisaidie kitu
kimoja.."
"..kitu gani tena..?"
"..kiss! Jerry kiss yako tu ndo ninahitaji.." "..Haa haa haa hicho ndo unachohitaji..?"
Jerry alikuwa hajanielewa mchezo gani ninaotaka
kumchezea, alinipiga busu la shavuni mpaka
nikajihisi niko dunia nyingine..
"..one more Jerry..(Jerry tena..)"
"..umeshaona raha enhee.." Jerry alinibusu shavuni, nikampa na mdomoni
akanibusu..
"..Jerry naweza na mie nikakubusu..?"
nilimuuliza kiuchokozi
"...yeah"
Nilitumia mwanya huo huo kujifanya kama nammbusu mdomoni, hapohapo nikatoa ulimi
nakumdumbukizia kwenye mdomo wake naye
nikamshuhudia akinipa denda lililonifanya mwili
wangu wote usisimke ghafla huku nikiyafumba
macho yangu nakutoa pumzi ya kimahaba..
Jerry alinogewa na kujisahau, akajikuta amevamia kifua changu nakukusanya maziwa yangu huku
akizipapasa chuchu zangu za mbele..
"..no.. Noo Jerry nipo kwenye 'bleed' usinishike
maziwa yananiuma.."
Nilimwambia makusudi ili nijue kama kweli
kalainika au la! "..Tina unasema..?"
Jerry alikuwa anauliza huku akiongea sauti ya
kimahaba..
"..na leo ataisoma namba, nitahakikisha anakuwa
mtumwa wa mapenzi ghafla, nalitesa kwanza wee
baadaye kabisa ndio nitaliachia linifanye.." Niliongea kimoyo moyo huku nikiendelea
kumtolea macho Jerry ambapo bado alikuwa
ameng'ang'ania matiti yangu..
"..Jerry, nakuruhusu nichezee kuanzia kichwani
mwisho tumboni tu.."
Kabla sijamaliza kusema nilimshangaa Jerry akinitupia kwenye kochi nakuanza kuninyonya
kuanzia masikioni mpaka shingoni huku ulimi
wake akiutelezesha mpaka kwenye kitovu
changu..
"..noo noo Jerry huko sitaki tena acha,
nimekwambia nableed' kwahiyo nishike kote lakini usinishike matiti yangu wala sehemu zangu za
si**.."
Ama kweli na wanaume kumbe dhaifu kama sie
wasichana,
Nilimshangaa Jerry akitamani japo ku sex,
"..Jerry, twende basi ulipotaka kunipeleka tukapate hiyo 'dinner'"
Jerry alinyong'onyea nakukaa kama dakika moja
kisha akachukuwa funguo ya gari na simu yake
kwa shingo upande uku akionesha kutoridhishwa
kabisa na mie,
"..ok, twenzetu" Nilijirekebisha nguo zangu vizuri kisha
nikaongozana na Jerry mpaka kwenye gari yake
nakuingia kisha akaliwasha gari lake nakuondoka.
"...Jerry hujaniambia ni wapi huko tunapoelekea
kupata chakula.."
"..tunaenda pale makumbusho na leo wikiendi huwa kuna 'live band'..
"..ok.."
Saa ya kwenye gari la Jerry ilinionesha imeshatimu
saa 08:14 usiku, tayari tulikuwa maeneo ya
morroco nikaanza kumchokoza tena Jerry.
"..Jerry, nikwambie kitu.." "..yeah, niambie tu.."
"..ujue muda wote kule kwako nilikuwa
nakudanganya, mwenzako hata si bleed.."
"..unasemaje.."
Nikavua kile kipedo changu nakutoa 'pedi' feki
niliyokuwa nimeivaa ambapo ilikuwa haina hata chembe ya damu, kisha nikamuonesha Jerry,
nikaitupa nje huku nijirudishia nguo yangu vizuri
nakumchekea jerry ambaye bado alikuwa kapigwa
na butwaa..
Inaendelea