kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,476
Vipi naona kimya stuntur kalala niniunajua kutukomesha si kwa speed hizi
Vipi naona kimya stuntur kalala niniunajua kutukomesha si kwa speed hizi
acha tu apumzike hali ya hewa si unaionaVipi naona kimya stuntur kalala nini
Kweli leo kakeshaacha tu apumzike hali ya hewa si unaiona
Mi naona kafichwa na tina huenda imefika zamu yakeacha tu apumzike hali ya hewa si unaiona
Dah mkono umependeza huoMi naona kafichwa na tina huenda imefika zamu yake
Haahahaa ahsanteDah mkono umependeza huo
Kama sio mzanzibar basi mwambao wa pwani huoHaahahaa ahsante
Ni msukuma huyoKama sio mzanzibar basi mwambao wa pwani huo
Haahahaa maji ya ray.Duh..kama mmanga..kitaulo au maji mengi.?
Mara nyingi ndoto huweka vitu au matukio yasiyo kweli.Sasa Stunter wakati mwingine uwe na kumbu kumbu
Tina ametolewa kule ufukweni na Vonso ule usiku akiwa uchi coz nguo zake zote alivuliwa na pia waliondoka nazo!
Vonso amemuijia na tax wameenda mwananyamala kwa Vonso coz mkewe na watoto hawapo hivyo huwa yupo peke yake
Vonso anampatia kanga mbili
Hivyo hakuwa na nguo nyingine zaidi ya hizo kanga mbili
Sasa hiyo blauzi na bra zilitokea wapi tena?
Hahahaah uwe makini
wengine huwa tunasoma nukta kwa nukta, neno kwa neno!
imeisha mda sanaShunie play boy (Jeff)iliisha ile au
stunter uko wap jamaan ukuje
Antonio sijakuona mda miss u jaman mzima lkn