Mkuu hiyo ni range rover lumma clrWakuu salama?
Muda mfup uliopita nilikuwa PPF TOWER nikakutana na gari hili la kisasa white aina ya LUMMA CLAR, lenye no. DGE sijui ni nani huyu? kwani bongo siku hizi raha sana.
Asante!
Siyo Mosha kweli huyo,? au mtoto wa Barhesa? maana hayo ndiyo magari yao!!
Kweli bado mnaulizana Plate Number za magari?????? Kazi mnayo haswaaaaaaaa
Umbea hauna posho ndugu yanguWakuu salama?
Muda mfup uliopita nilikuwa PPF TOWER nikakutana na gari hili la kisasa white aina ya LUMMA CLAR, lenye no. DGE sijui ni nani huyu? kwani bongo siku hizi raha sana.
Asante!
Ngoja nimsaidie kuweka picha ya gari moja
View attachment 161736
anauza sura sio....