Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Ebu tupeni ufafanuzi vizuri juu ya hii hoja yenu, ninachojua mimi huyu mtumishi ametajwa katika ile Report ya CAG na isitoshe ametajwa kama mtumishi wa TRA inamaanisha CAG amekosea au huyu alikuwa ni miongoni mwa watumishi hewa pale TRA ni vema tukalijua hili na kupata uhakika juu ya hizi hoja zenu.
Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Kwa kuwa sijaisoma kwa undani taarifa ya CAG, siwezi kukueleza ni kwa nini amemtaja kama mfanyakazi wa TRA (hilo sina hakika nalo) lakini ninamfahamu huyu mtu, alikuwa kamishna wa (nadhani) Excise Duty wakati anastaafuEbu tupeni ufafanuzi vizuri juu ya hii hoja yenu, ninachojua mimi huyu mtumishi ametajwa katika ile Report ya CAG na isitoshe ametajwa kama mtumishi wa TRA inamaanisha CAG amekosea au huyu alikuwa ni miongoni mwa watumishi hewa pale TRA ni vema tukalijua hili na kupata uhakika juu ya hizi hoja zenu.
mkuu vip kamishna Apollo, yeye hagusiki????Wanaukumbi.Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow. Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki. Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.
Usiwe punguani wewe hapa utaifa kwanza umemsikia Mwigulu wewe.
Mbona huyu jamaa alishastaafu mbona.
Wanaukumbi.
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imemfukuza kazi afisa wake wa TRA Plasidus Luoga kutokana kuwa mmoja wa watu waliochukuwa pesa za Escrow.
Plasidus Luoga,aliwekewa kiasi cha Milioni 121.2 kwenye akaunti yake Mkombozi Benki.
Cha kujiuliza kama siyo pesa ya umma kwa nini serikali imemfukuza kazi.