elewa we kichwa maji rozi kamili yupo kundi La zitto
Kichwa maji ni wewe kwani kama ingekuwa mtihani basi ungefeli,narudia kukuuliza maswali naomba unijibu,chama chako kilitangaza kupeleka wabunge arobaini jimbo la kalenga,nipe orodha wa majina ya wabunge hao na je rozi kamili si miongoni mwao ? Swali la pili gharama za kurusha chopa ni kubwa,endapo chama chenu kinazimudu kitashindwaje kupata fedha za kuhonga ?