- Unajua wapambe wa Chadema huwa mna kazi sana kwenye kutetea uozo wenu, I mean what is this mkuu foolish kwanza umeanza na lugha mbovu ambayo hakuna mstaarabu yoyote duniani anaweza kuiruhusu kwenye forums yake halafu pili unaleta theory za kitoto sana haya maneno juu ya Rose Kamili umayafahamu lini jana baada ya kukamtwa akigawa Rushwa? I mean childish na utetezi wa kitoto!! - Asingekamatwa ungesema haya? Mbona hukuwahi kusema huko nyuma kwamba huyu mama sio Chadema ila ni CCM, sasa kwa nini ni mbunge wa Chadema? yaani hata logic huna kabisaa!! Le Mutuz
Kakamatwa anagawa pesa,Polisi wamekuja kumchukua mtuhumiwa kwenye ofisi za CCM, Na wewe nikuulize anawezekanaje mtu ajitekenye mwenyewe halafu acheke mwenyewe?
Kweli POLISI Na akina NGulu NCHEMBA akili zao ziko kwenye magoti
akili zao zipo matakoni ndo tatizo