Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahahaaaaaaa lol unaogopa aiseeHapana sijahamia huko mie bado niko na Smile tuuu...... yule ni mtani wa jadi akiingia tu hapa anaweza badilisha upepo wa thread!!
Hahahahaaaaaaa lol unaogopa aiseeHapana sijahamia huko mie bado niko na Smile tuuu...... yule ni mtani wa jadi akiingia tu hapa anaweza badilisha upepo wa thread!!
hapana, siogopi ila naweka mambo sawa...
ahsante, mountain dew, red bull, burn, bavaria, juice, alvaro, maji ya kunywa, ginger ale.
Kipipi jambo?Vipi, mboga hutumii??
Kipipi jambo?
Iko jambo kabisa, habari ya wewe?
Ni kweli...Habari ya weekend SSumeonaee!
hi KP?
Niko poa kabisa..ulipotea
kama kuna nzombo na matembele au kisamvu hapo sawa...
umeonaee!
hi KP?
Pole sana....Mi niko poa naendelea na majukumu ya weekend kama kawaida....Afadhali nimekukuta mzima, kupotea unadhani napenda basi?? Ni majukumu tu yananizidia!
Hahahahaaa tupo nilikuwa nafanya kitu fulani hapa....njema tu... siwaoni so ngoja nifike mbugani kwanza