Pisi kali, nipokeeni kwa mikono miwili.

Pisi kali, nipokeeni kwa mikono miwili.

Maana sijaiona tu,maelezo yake yamenichekesha vile unaangalia mwamba kumbe we mwalimu😁😁
Katika dunia hii wakati mwingine, inabidi ujimwambafai ili kufurahia mema ya dunia 😀
 
Una balaa wewe Ina maana ulikuwa hujui pisi za huko zinahongwa Dola?
Nilijua wa huko ni tofauti na wa huku, kumbe kiumbe ni kile kile haijalishi yuko mazingira gani 😀😀😀
 
Nilijua wa huko ni tofauti na wa huku, kumbe kiumbe ni kile kile haijalishi yuko mazingira gani 😀😀😀
Ndio ukome🤣🤣🤣kutwa mnatunanga sisi tunawaomba sana Hela kumbe wenzetu wanaomba dollar kabisaaaa
 
Back
Top Bottom