Hiv huwa ni Apia au Apa ?Apia bila kulitaja🤣
Watu wenye makando kando lazima muwe na wasi wasi kama mnaoga njee 🤣🤣Nampa akiomba labda hana salio kupiga kwa amtakaye. Lakini sio pass word
Apa: Hili ni neno la kitenzi ambalo linaonyesha kitendo cha mtu mwenyewe kuapa au kutoa kiapo (kwa mfano: "Aliamua kuapa/apa mbele ya mahakama").Hiv huwa ni Apia au Apa ?
So kama tuna date tunaweza hata kuishia hapoWatu wenye makando kando lazima muwe na wasi wasi kama mnaoga njee 🤣🤣
Mimi nikigundua una wasiliana na mtu nikakuuliza halafu ukakataa kata kata ndiyo umeharibu kwa sababu mpka nakuuliza nina uhakika mna wasiliana
So kama tuna date tunaweza hata kuishia hapo
Wewe kwenye mahusiano ulifata kukagua simu?Watu wenye makando kando lazima muwe na wasi wasi kama mnaoga njee 🤣🤣
Mimi nikigundua una wasiliana na mtu nikakuuliza halafu ukakataa kata kata ndiyo umeharibu kwa sababu mpka nakuuliza nina uhakika mna wasiliana
So kama tuna date tunaweza hata kuishia hapo
Hakika mtu muongo anakudanganya akiwa mkavu 🤣🤣 kumbe wewe una mpaka ma evidence ma skirini shotiii😅😅😅So kama tuna date tunaweza hata kuishia hapoView attachment 3650705
Wengine hata hatukagui mbona vitu vina ji attach 🤣🤣Wewe kwenye mahusiano ulifata kukagua simu?
simu ya mkononi ya sasa hivi hubeba maisha ya mtu mzima. Ina siri nyingi na nzito kwa sababu inajua mambo yako yote ya faragha, kuanzia mawasiliano hadi siri za kifedha.Binafsi mtu yeyote sipendagi ashike simu yangu, hata kukodolea macho wakati natype naghafrika mno sembuse mpenzi kuishika!!
Simu Ina Siri nyingi na nzito
Hilo ni wazi, na ni sahihi kabisa. Hilo lipo pande zoteka Me na Ke. Ukiona mtu simu inaita halafu anasogea mbali na wewe ndipo aweze kujibu/kupokea lazima wasiwasi uwepo-kulikoni? Kwa nini hataki nisikie anachoongea au anaongea na nani? (Zipo calls ambazo kweli unajitenga kidogo ili uipokee simu)Watu wenye makando kando lazima muwe na wasi wasi kama mnaoga njee 🤣🤣
Kama ni Mawasiliano kwa sms(ku-chat) ni sawa lakini voice calls esp. kama unapigiwa na boss wako lazima ujitenge kidogo kabla ya kupokea. Kama ni jambo Confidential la kikazi sitokuambia ila nitavunga-vunga tu.Mimi nikigundua una wasiliana na mtu nikakuuliza halafu ukakataa kata kata ndiyo umeharibu kwa sababu mpka nakuuliza nina uhakika mna wasiliana
Naunga mkono hoja kwani jambo hilo sio Marathon eti nani anafaulisha zaidiSo kama tuna date tunaweza hata kuishia hapo
Ewaaah mapenzi yaishie chumbani kukaguana simu nop!! Pengine michongo ya hatare inakupa pesa bibiye atawwza stahimili akijuasimu ya mkononi ya sasa hivi hubeba maisha ya mtu mzima. Ina siri nyingi na nzito kwa sababu inajua mambo yako yote ya faragha, kuanzia mawasiliano hadi siri za kifedha.
Hapana bhna mwanaume lazima uwe na spare tyre pembeni ili kuwa na uhakika wa safariWengine hata hatukagui mbona vitu vina ji attach 🤣🤣
Ndiyo uhakikishe hiyo spare yako inakifua lasivyo utaanikwa tuHapana bhna mwanaume lazima uwe na spare tyre pembeni ili kuwa na uhakika wa safari
Mwanamke ameamrishwa kumtii mume wakeNdiyo uhakikishe hiyo spare yako inakifua lasivyo utaanikwa tu
SawaaHilo ni wazi, na ni sahihi kabisa. Hilo lipo pande zoteka Me na Ke. Ukiona mtu simu inaita halafu anasogea mbali na wewe ndipo aweze kujibu/kupokea lazima wasiwasi uwepo-kulikoni? Kwa nini hataki nisikie anachoongea au anaongea na nani? (Zipo calls ambazo kweli unajitenga kidogo ili uipokee simu)
Sawa brotherKama ni Mawasiliano kwa sms(ku-chat) ni sawa lakini voice calls esp. kama unapigiwa na boss wako lazima ujitenge kidogo kabla ya kupokea. Kama ni jambo Confidential la kikazi sitokuambia ila nitavunga-vunga tu.
Hakika amani ni bora kuliko vitaNaunga mkono hoja kwani jambo hilo sio Marathon eti nani anafaulisha zaidi