Pindi la week: Simu ya Mpenzi

Pindi la week: Simu ya Mpenzi

Asee atakachokuta atajua mwnyw..simu yangu n out of bound..mayb km hajalia cku nyingi bs achukue tuu😂
 
Mimi kumpa simu yangu
Ndio kuweka mahusiano reheni kipv yaan 🤣
Iko hiv: Sio kila mtu anafuraia mahusiano yenu. Itakuwa ni rahisi sana kwa m'baya wenu kuwakorofisha just kwa kuandika message chonganishi e.g. ujumbe (wa uongo) lakini wakimapenzi kwa mmoja wenu na itakuwa ni shida kuikanusha na hata ikikanushwa tayari imesababisha doa baina yenu.
 
Iko hiv: Sio kila mtu anafuraia mahusiano yenu. Itakuwa ni rahisi sana kwa m'baya wenu kuwakorofisha just kwa kuandika message chonganishi e.g. ujumbe (wa uongo) lakini wakimapenzi kwa mmoja wenu na itakuwa ni shida kuikanusha na hata ikikanushwa tayari imesababisha doa baina yenu.
Huyo mbaya wetu wa kuandika hiyo sms ya uchonganishi ni nani?
Ametokea wapi ?
Labda yeye ndiyo atakua nae wa ku mchonganisha sio mimi
 
Huyo mbaya wetu wa kuandika hiyo sms ya uchonganishi ni nani?
Ametokea wapi ?
Atakuwa ni Humo-humo miongoni mwa wanaJamii mlipo. Kwani hujawahi sikia "kikulacho ki nguoni mwako"?
Labda yeye ndiyo atakua nae wa ku mchonganisha sio mimi
Iwe vyovyote vile -lakini tayari kidudu-mtu atakuwa amefanikisha kuwachonganisha.
 
Cm ya mtu ni privacy haitakiwi kushikwa, mahusiano hayana maelekezo kwamba mkiwa pamoja basi simu zenu mtakua mnakaguana hiyo ni moja ya red flags ndani ya mahusiano 📌
 
Cm ya mtu ni privacy haitakiwi kushikwa, mahusiano hayana maelekezo kwamba mkiwa pamoja basi simu zenu mtakua mnakaguana hiyo ni moja ya red flags ndani ya mahusiano 📌
Fresh prince 🔥.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom