Wakati wa ile kasheshe ya Pinda Zanzibar sio nchi CITIZEN NO. 1 JK alisema hivi " Zanzibar ni nchi au sio nchi inategemea uko wapi. Ukiwa ndani ya JMT Zanzibar ni nchi, ukiwa nje ya JMT Zanzibar sio nchi" Huo ndiyo ulikuwa uafanunuzi wa Kikwete.
Lakini all in all chombo chenye mamlaka ya kutafasiri sheria zetu ni MAHAKAMA. Kutokana na ruling ya mahakama ya Ali Machano Hamis na wenzake 11. Mahakama ilisema kwa UWAZI ZNZ sio NCHI na UHAINI hauwezi kutendwa ZNZ.
Hivyo mimi naona Pinda yuko sahihi, Werema anapiga siasa. JK He want to eat his cake and at the same time to have it, Kiswahili tunasema ni JK ni KINYONGA.
Lakini all in all chombo chenye mamlaka ya kutafasiri sheria zetu ni MAHAKAMA. Kutokana na ruling ya mahakama ya Ali Machano Hamis na wenzake 11. Mahakama ilisema kwa UWAZI ZNZ sio NCHI na UHAINI hauwezi kutendwa ZNZ.
Hivyo mimi naona Pinda yuko sahihi, Werema anapiga siasa. JK He want to eat his cake and at the same time to have it, Kiswahili tunasema ni JK ni KINYONGA.