Pinda: Zanzibar sio NCHI... Werema: Zanzibar ni NCHI (Serikali yao ni MOJA, RAIS wao ni MMOJA)

Wakati wa ile kasheshe ya Pinda Zanzibar sio nchi CITIZEN NO. 1 JK alisema hivi " Zanzibar ni nchi au sio nchi inategemea uko wapi. Ukiwa ndani ya JMT Zanzibar ni nchi, ukiwa nje ya JMT Zanzibar sio nchi" Huo ndiyo ulikuwa uafanunuzi wa Kikwete.

Lakini all in all chombo chenye mamlaka ya kutafasiri sheria zetu ni MAHAKAMA. Kutokana na ruling ya mahakama ya Ali Machano Hamis na wenzake 11. Mahakama ilisema kwa UWAZI ZNZ sio NCHI na UHAINI hauwezi kutendwa ZNZ.

Hivyo mimi naona Pinda yuko sahihi, Werema anapiga siasa. JK He want to eat his cake and at the same time to have it, Kiswahili tunasema ni JK ni KINYONGA.
 
Zanzibar sio nchi ila wanajifurahisha tu, sawa na wazanzibari wanapopenda kuitwa waarabu hata kama ni weusi, basi mmoja wao ana uweupe kwa kubakwa bibi yake basi lazima apelekwe kwenye mihadhara ili waonekane weupe, ndoto ya kijinga
 
Hivi si ni huyu huyu Warema alipochaguiliwa kuwa AG tena akiwa nje ya nchi (Namibia) alikwenda bungeni na kujigamba kuwa hana chama?? Sasa mbona mwelekeo wake ni wa kutetea magamba tu badala ya kufanya kazi kwa maskahi ya Taifa??
 
Huu sio MUUNGANO ni MJUMLISHO yaani 1+1=2 au Zanzibar+Tanganyika=Zanzibar+Tanzania
Zanzibar + Tanganyika = Zanzibar + Tanzania. Zanzibar = Zanzibar Remove Zanzibar both sides, we get Tanganyika = Tanzania. Therefore. Tanganyika was simply renamed to Tanzania. And there is a fake union, whereby one member was swallowed, and wants to be vomited.... Like the famous miracle of Yonah, in the Holly Books...
 
Ndugu yangu mwana JF watatuchanganya sana kwa sababu hata hawajui wasimamie lipi kila mmoja ana jibu lake. I now believe that we are starting the begining of our end, as we have no leader we can believe on.Wansheria kweli semeni kitu tupate mwanga.
 
Hawa wote niwapuuzi. Nimatokeo ya kutetea uwongo ndo sabab kila mmoja anatamka lake kuukwepa ukweli.

Allways the trueth has only one fact answer but lie/cheat has so many false outcomes on respons
 
Huu sio MUUNGANO ni MJUMLISHO yaani 1+1=2 au Zanzibar+Tanganyika=Zanzibar+Tanzania

Mathematically speaking:

If Zanzibar + Tanganyika= Zanzibar + Tanzania

By eliminating Zanzibar in both sides become

Zanzibar-Zanzibar + Tanganyika= Zanzibar-Zanzibar + Tanzania

Becomes
Tanganyika = Tanzania.

This is where the confusion starts. Zanzibaris always feel that their nationhood had been eroded while Tanganyikans always feeling that they killed and buried their nationhood for the Union while their partners retained theirs.
 
si rais , si waziri mkuu, si jaji mkuu, si katibu mkuu, si mwanasheria mkuu anayejua kuwa Zanzibar ni Nchi au sio nchi labda wawafufue Karume , Nyerere na Kawawa. Hawa ndio wanaojua Tanzania ilitokana na nini.
 
Zanzibar na Tanganyika si nchi. Tanzania ni nchi yenye kuwa na Muungano wa Tanganyika na visiwa vya Zanzibar (Pemba na Unguja). Tatizo wengi wa Wazanzibari wanachukulia Tanzania ni Tanganyika kwa sababu ambazo zinakubalika kama mgawanyo wa rasimali ukiegemea upande mmoja wa Tanganyika (Tanzania Bara), tatizo kubwa ni structure ya Muungano na hayo wanayosema kero za Muungano. Kama ni Muungano basi hakukuwa na sababu ya kuwa na Marais wawili (wa Muungano na Zanzibar). Kama Zanzibar walitaka (tokea mwanzoni) wawe na Rais then ilikuwa na weakness ya viongozi kwani Tanganyika ingekuwa na Rais pia na Rais wa Muungano awe mmoja au kungekuwa na position kama Makamu wa Rais - Tanganyika na Makamu wa Rais - Zanzibar wawe chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zanzibar ni nchi na itaendelea kuwa nchi. No one can stop it. Jamuhuri ya Zanzibar kwanza...:shut-mouth:
 
Nilipokuwa primary school, tanzania ilikuwa na mikoa 25 (bara 20, znz 5) na nchi ilikuwa moja tu, tanzania. Leo nchi zimekuwa 2, ila nchi moja znz, iko ndani ya nchi nyingine, tz. Znz ni semi-autonomous state, kwa maana kwamba sio sovereign state.

Hata hivyo wazanzibari wakipenda na kufanya mabadiliko katika katiba yao, wanaweza kurudisha uhuru kamili kwa nchi yao na kuwa taifa huru ndani ya muungano bila kuvunja muungano, (i.e 2 states united under a federal government).
 
hii yote imeletwa na Mkapa alipo ruhusu ZNZ kuwa na bendera yao ya Taifa, Wimbo wa taifa hilo ndilo kosa kubwa sana alilifanya Mkapa alilifumbia macho sasa madhara yake ndio haya, ZNZ pia inakatiba yake.

nifahamuvyo mie kwa uwelewa wangu mdogo nchi ikiwa na bendera yake ya utaifa na wimbo wake pia basi jua hiyo nchi ni jamuhuri kwa maana inajitegemea yenyewe kwa kila kitu bila kutegemea nchi nyenzake (Tanzania)

serikali ya JMTZ ina jumla ya marais 5: Kitwete, Shein,Dr. Balali, Maalim Sefu, Balozi Seif Ally hao wate wana hadhi ya rais wanapewa ulinzi na watalindwa kama marais.
kwa nchi kama yetu ambayo "ni maskini" kuwa na mzigo wote huu wa marais 5 ni garama kubwa sana na mzigo wote huu anabebeshwa mlalahoi kwa kukatwa kodi kubwa kila mwezi.

Pole kwa uelewa wako mdogo!
 
Hawa jamaa wanachezea akili za Watanganyikaa sana! Kwa nini hawataki kuliweka hili sawa na kueleza mambo hadharani ili ubishi uishe? Zanzibar kuwa na bendera yake na wimbo wa taifa inamaanisha nini? Hapa muungano utakuwa mtamu kama ni wa serikali 1 au Tatu! Kama ni mbili basi iwe ni Tanganyika na Zanzibar na iwe jumuiya tu! Nchi maskini viongozi kibao, Zanzibar kama mkoa tu, wabunge kibao, mara wa zanzibar mara wa muungano! This is very stupid! Pesa nyingi sana inapotea kwa sababu za kuwa na serikali kuuuubwwwaaa! Halafu na hawa wanasheria si watoe tafsiri ya kueleweka? Manake wamekuwa wanatuchanganya tu, halafu wamesoma wote chuo kimoja. Tatizo kubwa ka sheria nalo sometimes ni tafsiri!
 
Bobuk Nachukua nafasi hii kukupongeza. You have tracked it well tatizo kubwa la Watanzania ni kwamba majority almost 85% wana a very short memory you among the 15%. Akili ndogondogo kutawala akili kubwa.
Werema ni sawa na nguchiro sijui huo Ujaji alipewa na nani au ni rushwa ya Ngono?

Alisema mwishoni akijua Dr. Lissu hangepewa nafasi ya kumjibu alivyopotosha. Angekumbuka maneno ya Pinda na if his was not partisan asingeongea ule upuuzi.

Kama Muungano ni wa Nchi mbili then wakati Zanzibar wana katiba Yao hiyo nchi ya pili Tanganyika iko wapi. Let me tell you the hasty union implied that Zanzibar is not a member of any organization the much cherished EAC. Hakuna nchi ambayo dunianihaitambuliki it's only Zanzibar. Hiyo serikali ya mapinduzi ni ipi Kama wana fanya uchaguzi?

Tumfungulie Dhaifu kesi ya kuvunja katiba which is treason Bunge lipige kura ya kumwondoa of course hata Mkapa aunganishwe as an accomplice .
 
Last edited by a moderator:
Lazma mkumbuke kuwa tupo kwenye zama za mambo 'HOLELA HOLELA' Kuanzia sera holela,soko holela,siasa holela, viongozi holela,muungano holela,serikali hiyo tena wala nsimalizie.., watu tu naotegemea wawe makini (viongozi) wanapogeuka kufanya mambo ya hovyo ki-holela holela wanageuka na kuwa kama katuni!
 
Ni jambo la aibu sana kwa viongozi wetu kukiri wazi wazi kwamba Zanzibar ni nchi, ndio maana Pinda alisema Zanzibar sio nchi. Lakini nina amini mioyoni mwao wanajua Zanzibar ni nchi iliyofunikwa na kivuli cha Muungano hewa. Nasema ni muungano hewa kwa sababu ninaamini tukifanya tathmini ya kihalali tutakuja kuona zaidi ya 50% ya wazanzibari hawakubaliani na huu muungano. Na kama hivyo ndivyo ilivyo hii inamaana muungano huu ni wa ki-mabavu..
 
Mtu akisema serikali hii na rais huyu ni dhaifu, eti afute kauli. najisikia aibu sana kuwa mmoja ktk taifa la watu ambao kusema ukweli ni kosa, tena la kutosha kupatiwa adhabu.

Nani atatusaidia kwa kasi kubadilika? kutoka kwenye tabia ya kishenzi kama hii kwenda kwenye ustaraabu wenye manufaa kwa kila mmoja wetu? NI CCM hii hii? Ni CHADEMA? au NI CUF? ni NCCR au UDP???

Tunahitaji kusema tu mungu anajua??? au tunahitaji kufanyia kazi suala hili kwa nguvu zetu zote??? Nifanyeje kuchangia nguvu zangu?
 
Back
Top Bottom