Mwasita Moja
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,904
- 2,580
Kitaeleweka lini kwa sasa Zanzibar iko chini ya ccm 100%Wanaogopa itapata msaada kutoka Sultanate of Oman na nchi zingine za kiarabu, ndio maana wanapinga kuwa nchi! Lakini kitaeleweka tu
Kitaeleweka lini kwa sasa Zanzibar iko chini ya ccm 100%Wanaogopa itapata msaada kutoka Sultanate of Oman na nchi zingine za kiarabu, ndio maana wanapinga kuwa nchi! Lakini kitaeleweka tu
Kamwambie JK maana ndio kawapeleka hadi wakamtengezee bandari kumbe kunya anye kuku akihara bataZANZIBAR ITARUDI KATI HESHIMA YAKE
Kwa msaada wa Waarabu wa Dubei.
Unajidanganya ila sio mbaya hayo ni mawazo yako wala sikupingi mana kama nyinyi mupo wengi sanaZANZIBAR siyo nchi na haitatokea iwe nchi, you either unite or occupied by force. so you have to weigh the two options.
Unishani unakuja pale ambapo unapotaka kuelezwa jambo ukaleta ubisi na hii JF sio yako na wala sio mali yako huu ni uhuru wangu ilimradi tuu matusi sitoi soo kama umeshindwa kujibu wewe hujalazimishwaMasuala haya ya Zanzibar ni nchi au la nani asiyejua Zanzibar ni nchi? Mtoa mada kama umezoea ubishi basi nenda vijiwe vya darajani unguja mkabishanie masuala yenu ya nchi au la. JF ni pa waungwana wenye elimu ya uelewa na si mahala pa ubishani kwa mambo yaliyo wazi.
UnajidanganyaKitaeleweka lini kwa sasa Zanzibar iko chini ya ccm 100%
zanzibar siyo nchi na haitatokea iwe nchi time will tell.Unajidanganya ila sio mbaya hayo ni mawazo yako wala sikupingi mana kama nyinyi mupo wengi sana
Siyo kweli kuwa imegundulika hivi karibuni ila ni toka mwaka 1964 ilipokubali kupoteza hadhi yake kama nchi!Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania
Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini
Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu
So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania
Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Yangu macho
Ni muungano wa vijimikoa vitano vilivyo Ktk visiwa.na wanamuwakilishi wao mmoja anayejiita rais.lkn sio nchi.Kama Zanzibar sio nchini ni nini?
Wa-Africa hatuna AKILI zipo za kushikiwa tu kwa kuikataa ZNZ kutambulika.Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania
Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini
Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu
So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania
Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Yangu macho
Ndio tuulize kwa hao waliosema ni nchiKama Zanzibar sio nchini ni nini?
Zanzibar sio nchiImekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania
Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini
Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu
So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania
Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Yangu macho
Mkuu zanzibar ni koloni letu, haiwezi kuwa nchiImekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania
Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini
Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu
So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania
Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Yangu macho