Pinda: Zanzibar sio NCHI... Werema: Zanzibar ni NCHI (Serikali yao ni MOJA, RAIS wao ni MMOJA)

Masuala haya ya Zanzibar ni nchi au la nani asiyejua Zanzibar ni nchi? Mtoa mada kama umezoea ubishi basi nenda vijiwe vya darajani unguja mkabishanie masuala yenu ya nchi au la. JF ni pa waungwana wenye elimu ya uelewa na si mahala pa ubishani kwa mambo yaliyo wazi.
Unishani unakuja pale ambapo unapotaka kuelezwa jambo ukaleta ubisi na hii JF sio yako na wala sio mali yako huu ni uhuru wangu ilimradi tuu matusi sitoi soo kama umeshindwa kujibu wewe hujalazimishwa
 
Imekuwa ikisemekana Zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imeonekana huenda sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia Zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa Zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama Sudani Kusini. Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa Zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu.

So wale wanaosema Zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi?
Kuwa na Rais na Bendera kunawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
 
Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania

Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu

Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini

Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu

So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania

Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?

Yangu macho
Siyo kweli kuwa imegundulika hivi karibuni ila ni toka mwaka 1964 ilipokubali kupoteza hadhi yake kama nchi!
 
Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania

Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu

Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini

Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu

So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania

Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?

Yangu macho
Wa-Africa hatuna AKILI zipo za kushikiwa tu kwa kuikataa ZNZ kutambulika.


UNITED KINGDOM ni Nchi moja inayotokana na sehemu Tatu
1)England
2)Scotland
3)Wales

Na hizo zote zinajiwakilisha zenyewe ukija kwenye INTARNATIONAL CUP kama World cup na Euro Cup ..............
Hapo tofauti ikwapi na ZANZIBAR na Jamhuri ya muungano Tanzania .




Zimwi likujualo......
 
Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania

Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu

Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini

Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu

So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania

Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?

Yangu macho
Zanzibar sio nchi
Nchi ni Tanzania, ambayo ndani yake kuna Zanzibar na Tanganyika/Tanzania bara
 
Imekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania

Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu

Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini

Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu

So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania

Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?

Yangu macho
Mkuu zanzibar ni koloni letu, haiwezi kuwa nchi
 
Back
Top Bottom