Mkuu nipo Dodoma nimemuona waziri muhongo anapita anatoka bungeni.
Na vipi huyo jeuri Mhongo, maana huyu myantuzu dharau mingi mno.
Kweli jamani? Hali hii ninayoiona mafisadi hawawezi kuisha Tanzania. Na sijui kwanini mamlaka zinawalea hawa.. sitaki kujutia maamuzi yaliyonifanya nione ccm ndiyo chama bora kwangu..