Tuna mambo mengi ya msingi yanayolisumbua Taifa hili. Mavazi na Kiongozi au Mtendaji kavaaje si mojawapo! Picha za kwenye luninga wakati wa taarifa ya habari saa 1 na saa 2 jioni uko sebuleni na mke/kimada wako lazima ipendeze ati.
Mimi huwashangaa sana watu wanaopenda kuniga tai kwenye nchi yenye joto kama hii yetu. Kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Wazungu walibuni vazi hilo kutokana na hali ya hewa ya nchi zao ambako karibu mwaka mzima hali ya hewa ni baridi kali mno isiyoweza kueleweka kwa mtu anayeishi kwenye joto kama hapa kwetu. Sie Waafrika kwa kupenda kuiga mambo ya Ulaya na kudhani kwamba ndio maendeleo tunajikuta tunajitesa na suti. Si hilo tu, mtu akiniga hiyo suti ili kukimbia joto atahakikisha anakuwa na gari airconditioned na ofisi airconditioned etc. Matokeo yake anatumia fedha nyingi mno kugharimia manunuzi ya suti, gari airconditioned ambalo hutumia mafuta mengi kuliko kawaida, na huko ofisini atataka airconditioner inayotumia umeme mwingi. Mwisho wa yote ili kuweza kuzimudu gharama zote hizo itabidi mtu/afisa huyo ajiingize kwenye hujuma za rushwa na ufisadi ili aweze kulipia gharama hizo.
Kwa bahati nzuri nimewahi kuishi na Wazungu wanatucheka na kutudharau sana kwa tabia yetu ya kuiga mambo yao ambayo wala hayana mantiki kwetu sisi katika hali yetu ya umaskini.
Asante Pinda! Usife moyo, endelea, kazana kuwaelimisha wananchi na tunakuomba utumie rungu lako la Uwaziri Mkuu kusitisha mianya yote ya ubadhilifu ndani ya Serikali. Mungu atakuwa pamoja nawe!
JK amefanikiwa lengo lake, alijua jamaa hakua=wa na mpango hata wa kuwaza kuwa waziri sembuse PM.
Hii ni kuwa Pinda bado anaweweseka na cheo hicho!
usije ukakuta mpak atakavyoondoka madarakani akaendelea kufikiri yee ni PM
Viatu vikubwa hivi!!
Kwa nini. Niko serious kabisa! Katika watu ambao ungependa wakuone uko "smart" ni kimada wako.You are not serious on this!
Mimi huwashangaa sana watu wanaopenda kuniga tai kwenye nchi yenye joto kama hii yetu. Kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Wazungu walibuni vazi hilo kutokana na hali ya hewa ya nchi zao ambako karibu mwaka mzima hali ya hewa ni baridi kali mno isiyoweza kueleweka kwa mtu anayeishi kwenye joto kama hapa kwetu. Sie Waafrika kwa kupenda kuiga mambo ya Ulaya na kudhani kwamba ndio maendeleo tunajikuta tunajitesa na suti. Si hilo tu, mtu akiniga hiyo suti ili kukimbia joto atahakikisha anakuwa na gari airconditioned na ofisi airconditioned etc. Matokeo yake anatumia fedha nyingi mno kugharimia manunuzi ya suti, gari airconditioned ambalo hutumia mafuta mengi kuliko kawaida, na huko ofisini atataka airconditioner inayotumia umeme mwingi. Mwisho wa yote ili kuweza kuzimudu gharama zote hizo itabidi mtu/afisa huyo ajiingize kwenye hujuma za rushwa na ufisadi ili aweze kulipia gharama hizo.
Kwa bahati nzuri nimewahi kuishi na Wazungu wanatucheka na kutudharau sana kwa tabia yetu ya kuiga mambo yao ambayo wala hayana mantiki kwetu sisi katika hali yetu ya umaskini.
Asante Pinda! Usife moyo, endelea, kazana kuwaelimisha wananchi na tunakuomba utumie rungu lako la Uwaziri Mkuu kusitisha mianya yote ya ubadhilifu ndani ya Serikali. Mungu atakuwa pamoja nawe!
Umesema, wana jf wanaomtwanga pinda nawashangaa .. emancipate yourself from mental slavery, Suti sio vazi la kiafrika, hili vazi ni la wazungu kwenye baridi, inashangaz hata wasomi wetu hawajui hili.
Ujinga wa mwafrika?
Anasema tuuuuu, atatenda lini. Ni bora anachoona kinafaa kwa Tz na akisimamie kitendeke maana power hiyo anayo. Akija sema nilisema hamkufuata ni weakness maana amepewa hiyo power na anashindwa itumia.
Halafu kama hajui chochote kuhusu kubana matumizi na CCM yake haina dira na basi apunguze safari, maana kila akisafiri atakuja na mengi mpaka atanshindwa aanzie wapi kuyatekeleza atabaki kusema sema tuu,
...jamani hawa ndio viongozi wetu wanaotuingiza karne ya 21,mbona kazi tunayo!
Hapa ninamkumbuka Pengo Kuwa anaamsha hasira za watanzania. ni bora akae kimya tu.
Hapa kuna utani.