Pinda: Pamoja na matatizo ya umeme lakini uchumi wetu haujatetereka

Huyo ndio pinda a.k.a mtoto wa mkulima asiyejua wakulima wanamahitaji yepi wala hali zao zikoje,...haya ngoma inogile
 
Nimeshangazwa na kauli ya Waziri mkuu Mizengo Pinda kuwa "pamoja na matatizo ya umeme nchini lakini uchumi wa Tanzania haujatetereka hata kidogo...na ndio maana hata viongozi hawatetemeki kuelezea uimara huo wa uchumi.."

Mimi simwelewi Waziri mkuu wangu.
nashindwa kumwelewa jamani, naomba wanaJF mnisaidie huu uchumi ulio imara ni uchumi upi?
Au miye sijui mambo ya uchumi kwa sababu sio fani yangu?
Alikuwa anaongea na wazee wa ccm au??
 
:blah: Heee!!!! Huyu Mzee vipi tena? Kwa hesabu za darasa la ngapi? Kabla ya matatizo ya umeme kwa kiasi hiki Tsh yetu kila kukicha ina kwenda chini (inaporomoka) Kulinganisha na Usd....Hivi kweli kwa nchi ambayo hata Toy za watoto una import kutoka nnje.....sasa hii ni nchi ya wachuuziiii tu....Uchumi wake utaimarika lini? Kivipi ? Labda enzi ya Mwl kabla ya vita na Uganda...wakati ule Usd 1 = Tsh 5... Sterling Pound 1 = Tsh 20....Nchi ilikuwa ina export kahawa,Mkonge,Pamba.......Tena kwa Kiasi Kikubwa kweli uchumi ulikuwepo...kumbuka hata hawa mafisadi wetu walisomeswa bure na uchumii huu huu wa Mzeee huyu Buree....leo? Tusidanganyane!!!! kwa Vigezo vipi vya kiuchumi au makaratasi tuu na % .....
 
Tanzania bodo ni nchi changa na yenye uwezo mkubwa sana as we speak. Hivyo kukua kwa uchumi wa TZ sio big deal kabisa lazima tuelewe nchi ilioachwa hata sukari inabidi kuipangia foleni enzi zile, na leo sukari inapatikana kila 'kona shop' lazima uelewe tulikuwa na hali mbaya sana na tulikuwa hatutumii the factors for growth.

Nchi ambayo mashamba kadhaa yalikufa leo yanafanya kazi, ukiongeza na makampuni ya kigeni yanayoleta ajira na asset za taifa tunazogawa bure no doubt uchumi utakuwa. Kwa sababu Tanzania imeongeza kipato na ushuru inachukua sasa, lakini aina maana eti tuwashukuru hawa viongozi wetu.

Put it this way:

Uchumi wa Tanzania ni sawa na mtu mwenye shamba la hekari 10 na watoto watatu ambao hawajifikia umri wa kusaidia shambani hila wanahitaji chakula kutoka kwenye hilo shamba. Uwezo wa wazazi ni kuzalisha hekari 4 za shamba na sita kubaki kuzagaa bila ya kutumiwa.

Option one you either get a bank loan and hire people to maximise the potential of your land so that you can feed the family and also sell the produce to pay the loan. Ukipata loan na kulitumia shamba na hali yako ya maisha umeiinua.

OR if you're ignorant and lazy (like a Tanzanian executive) you do the following:

You lease part of it to someone else so that he can use it for his purposes and pay you little money (or even sell it to him all together) you still get to improve your position at the end of the day. The problem with this approach is that, yes you get the immediate solution (money to feed the family) but then what happens to your three kids when they grow up. Where and how are they going to survive when the land they need is in someone else hands.

Hii ndio sera ya Tanzania: yes Uchumi unakuwa lakini si wakulisaidia taifa in the long run.

Hayo ya inflation tungemuuliza gavana au mshauri wa uchumi wa kisiasa hopefully watakuwa na right datas kuweza kukoment. There are many reasons that could cause inflation, some are beyond a nation's control.
 
Back
Top Bottom