mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Waziri mkuu Mizengo Pinda na Spika wa bunge Anna Makinda waliuambia umma kuwa rais Jakaya Kikwete ameidhinisha kuongezwa kwa posho ya wabunge. Siku moja baadaye ikulu imekanusha.Je kwa kumsingizia rais, kudanganya umma, na kupinga na rais watanusurika kuwajibishwa? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA