mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
Tangu aanze kuifanya kazi yake kama waziri mkuu pinda ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia kilimo, ningekuwa Rais ningemteua awe waziri wa kilimo, hii inatokana na sababu kuwa mtu hufanyavizuri ktk fanianayoipenda. hii imekaaje wadau!