Pinda anafaa kuwa waziri wa kilimo

mchakachuaji

Member
Aug 12, 2010
58
7
Tangu aanze kuifanya kazi yake kama waziri mkuu pinda ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia kilimo, ningekuwa Rais ningemteua awe waziri wa kilimo, hii inatokana na sababu kuwa mtu hufanyavizuri ktk fanianayoipenda. hii imekaaje wadau!
 
Back
Top Bottom