Pinda amfunika Dr Slaa Kagera

Jamani, aweke picha azitoe wapi? Au mnamaanisha aweke picha ya Mh. Pinda? Au picha yake?

Hana picha. Period. Nukta.

Wangekuwa nazo ungezikuta ubalozi wa Marekani na Uingereza wanaonyesha. Zingewekwa kwenye waiting lounge za airports zote.

Wangeweka kipindi maalumu Tbc kuonyesha! Ila hawana mpaka watengeneze!
 
Amechemsha anatumia nguvu nyingi sana.

Kwanza mikutano ya sisisem ya kulazimishana, eti ukiwa mfanyakazi lazima uende mkutanoni au ukiwa kiongozi pia.

Hawapimi imani ya mtu kazi mabavu tu, sasa watu siku hizi wameamka hawafuati upupu. Hapa cdm inatisha watu wanajitokeza wenyewe bila kuitwa.

Cdm hoyee, cdm juuuu
 
Vilaza wa teknolojia utawafahamu tu. Hivi hujui picha unaweza kui-multiply zaidi na zaidi. mbavu za mbwa mmoj akazidishwa hadi wakawa milion? Aibu. nawe utajiita msomi?? ndo madhara ya kudesa

Ku-multiply picha?Labda kwa vilaza wa teknolojia ndio wataoshindwa kutofautisha a genuine photo na a picha iliyofanyiwa photoshop

And since said is easier than done,unaonaje ukiwafahamisha unaowaita vilaza wa teknolojia namna ya "ku-multiply picha"!!!
 
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?


...in your dreamz, Dog'sRibs, in your Dreamz......!:A S 112::A S 112:
 
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?


issue sio kuwajaza watu, issue ni watu wenyewe kwa hiari yao kuujaza mkutano.....zenu za kwenda kuwasomba watu vijijini na malori ya manispaa sasa hvi hamthubutu, mkigusa tu chadema hao mahakamani...hahaahh yani mnaishi kwa hofu hadi raha....yani kila mtu anakereketwa na cdm....moto ni uleule....mlizoea wanasiasa vilaza wasio na chalange kama kina mrema na cheyo eeeh....?? sasa ivi imekula kwenu.
 
Ushaidi wa picha unahitajika. Sio porojo na uzushi. Mböna picha za mikutano ya chadema zinawekwa tunahitaji na za pinda pia kuondoa utata.
 
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Nimeanza kuamini kuwa Watanzania wengi wanapenda sikukuu (labda wanapenda kusikia sera kutoka kwenye mikutano).
 
pamoja na kuzoom bado watu wanaonekana wachache, niliona watoto na watu wazima walovaa nguo za kijani, na walikuwa wanyonge tofauti na wahudhuriaji wa mikutano ya Dr Slaa, habari ndio hiyo.
 
Chadema wakibuni au wakianzisha kitu ccm nao wanaiga,si ajabu kupata mtazamo kama wa mbavu za mbwa wenye mwelekeo wa kufunikana katika mikutano bila kuangalia uzito na tofouti za hoja kati ya pinda na zile za wapigania uhuru kutoka chama cha demokrasia na maendeleo
 
Back
Top Bottom