Mgomo umetangazwa rasmi. Furahini sasa na mshangilie kila mtakaposikia wamefariki ishirini Muhimbili, kumi Temeke na Hamsini Mwananyama ili mkakusanye Damu mkaiwakilishe FREEMASONS.
Hongera PM kwa kutangaza kuwa mmefanya maandalizi ya kutosha kukabiliana na mgomo huo wa Ma-FREEMASONS unaoongo na huyu mhutu.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwa pamoja tulaani uroho huu wa Vibaraka wa nchi za Magharibi wanaojivika kofia ya uana harakati.
Hakika hakuna wa kunishawishi nikubali kuwa Serikali ndiyo yenye makosa na siyo Madaktari na Wanaharakati kwa sababu UHAI HAUPIMWI NA LOLOTE LILE. Kamwe huwezi kulinganisha uhai na kujiuzulu hata siku moja. hakuna sababu ya kutoa uhai wa mtu sababu eti mtu kakataa kujiuzulu. Tukeshe leo tukiomba haya yaweze kuwarudia wanaharakati.
Tutakapo kwenda kutupa udongo kwa marehemu hawa na tuseme :
Uliumbwa na mungu umeuawa na NAMALA, BISIMBA NA ANANILEA-tangulia mpendwa wetu Mungu anajua mwisho wa yote Amina.
Umeamua uje na h8 ujinga wako.kama wanaharakati wanasikiliza nch za magharibi basi na wewe unawasikiliza akina ccm na serikali yake.wewe ni mlamba viatu,una mawazo pogo na kwa ujumbe huu wewe ni kada wa ccm ambaye unashnda unapayuka ata usilolijua.bisimba, nkya na namara hawa awakopeshi. Nchi inaitaji mtu atakayetukimbiza sio anayekwambia chuchumaa. Natamani tupate rais atakayepiga viboko mawaziri na watendaji wa bovu serikalin
Umeamua uje na h8 ujinga wako.kama wanaharakati wanasikiliza nch za magharibi basi na wewe unawasikiliza akina ccm na serikali yake.wewe ni mlamba viatu,una mawazo pogo na kwa ujumbe huu wewe ni kada wa ccm ambaye unashnda unapayuka ata usilolijua.bisimba, nkya na namara hawa awakopeshi. Nchi inaitaji mtu atakayetukimbiza sio anayekwambia chuchumaa. Natamani tupate rais atakayepiga viboko mawaziri na watendaji wa bovu serikalin
Akina mama hawa ndoa zao ziliwashinda waliamua kuingia kwenye taasisi za wanaharakati. Familia zao zimevunjika ndio wataliweza taifa? hawa ni waharibifu tu.
Familia bora huzaa taifa bora lakini wao wakasambaratisha familia zao lakini wanapigania kupata taifa bora.
Yaani wewe una akili kama mwanaasha
Yaani wewe una akili kama mwanaasha
Naomba kila mtu ajuee tunagoma si kwaajili ya kipato chetu tu ila tunataka sekta ya afya iboreshwe,unamuona mgonjwa baadhi ya vipimo havipo hata vikiwepo dawa hakuna unamwambia mgonjwa akanunue
Thatha, haka kahadithi kanatufundisha nini?