Pilipili ya AKABANGA Mwenye kuitaji

Pilipili ya AKABANGA Mwenye kuitaji

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
Ni pilipili nzuri tamu inatoka kwa Jirani zetu wa Rwanda

Niliwahi kufika na kuionja hakika vitamu ukala na nduguyo na nduguyo ndio wewe Pia inasaidia kuleta uzima si wa millele kwenye sehemu zilizopungua uhai

Vikubwa5000 tzs
Kubwa 10'000

Naamini utaipenda
Kwa mahitaji pm
 
Kwa hapo bold usipojenga hekalu ukajitupe baharini........

hahaaaa mkuu rainy najaribu kuondoa ongezeko la utasa huwa zikifika tunaziombea kwanza

so mtu akila kila mmoja analetaa heshima mkuu ......nimeona niwakomboe wana jf kwenye kujinafasi
 
hahaaaa mkuu rainy najaribu kuondoa ongezeko la utasa huwa zikifika tunaziombea kwanza so mtu akila kila mmoja analetaa heshima mkuu ......nimeona niwakomboe wana jf kwenye kujinafasi
jaribuni kuishi kwa afya........... meaning kila ufanyacho hakikisha kina afya kwako Natamani sana kumpata mtu mvivu wa haya mambo manake kwangu akitia kajipombe kadogo tuu nataman kuahama kitanda
 
mmmh na exp yako
sidhani kuna mwenye kushindana na wewe unless anatafuta kifo
 
Hiyo bei mbona umei double ndugu?hiyo chupa ndogo ni 2500 na kubwa 5000,au ndio transport cost?
 
Nami nikienda D.R.C. , nitaleta KASONGO niiuze , ile ni kiboko!!!
 
Hakuna bei kama hiyo kaka,mara tano ya bei yake!,hata kama ni biashara hiyo ni kufuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom