Pilau la njegere

Pilau la njegere

Asante.
Mie jana yangu ilikuwa hv
Screenshot_20250228_200305_Instagram.jpg
 
Huo wali mbona Una rangi rangi au ndo Biriani?
Hii ni biriani kavu mpwa.
Japo mie si mpenzi wa biriani, ila nilipata mgeni ikabidi nimpikie maana anapenda sana biriani.

Ndipo nikampikia biriani kavu la pishori, kuku wa kukaanga, yai la kuchemsha, kachumbari ya kiswahili na bila kusahau ndizi pembeni.

Kufahamu na kujua kupika ni raha sana.
Hapa kisamvu cha karanga, sangara wa chukuchuku na kaugali kalaini.
20250224_205351.jpg
 
Hii ni biriani kavu mpwa.
Japo mie si mpenzi wa biriani, ila nilipata mgeni ikabidi nimpikie maana anapenda sana biriani.

Ndipo nikampikia biriani kavu la pishori, kuku wa kukaanga, yai la kuchemsha, kachumbari ya kiswahili na bila kusahau ndizi pembeni.

Kufahamu na kujua kupika ni raha sana.
Hapa kisamvu cha karanga, sangara wa chukuchuku na kaugali kalaini.
View attachment 3285163
Sure kujua kupika inasaidia sana
 
Siku nyingine utukaribishe
Sawa, kesho nitakukaribisha
Ila leo nimepika hivi
20250327_210412.jpg

Nyama ya ng'ombe nimechanganya na viazi,
Mchicha pori (bwasi) nimechanganya na mgagani, mnafu na nyanyachungu.
Wali wa nazi.

Karibu sana.
Nina vyungu vya kupikia kama 20 hv, napenda sana kupikia vyungu.
Si unajua nina unyamwezi upande wa mama.
Wanyamwezi na vyungu ni kama uji na mgonjwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom