mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,969
- 5,103
Aisee! Kwanini usifungue mgahawa maana kwa kujua kupika hukoNdio
Aisee! Kwanini usifungue mgahawa maana kwa kujua kupika hukoNdio
Nataman nipate tenda za kupikia watu maofisinAisee! Kwanini usifungue mgahawa maana kwa kujua kupika huko
Good idea! Geuza kipawa ulichonacho kuwa fursa upige hela kijanaNataman nipate tenda za kupikia watu maofisin
😂😂 itakuwa kazichanganya
Nala kwa macho 😍Hello
Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere
Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa
Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu
View attachment 3284091
Baada ya hapo nikaweka nyama iliochemshwa nikaweka
View attachment 3284099
Kisha nikaweka kiungo cha pilau
View attachment 3284102
Nikachanganya ipasavyo kisha nikaweka viazi na kitunguu maji
View attachment 3284107Navyo kikavikaanga kwa muda kisha nikaweka karoti
View attachment 3284114
Baada ya hapo navyo nikachanga kuikaanga karoti nikaweka nyanya nyanya kwenye pilau inaleta radha mzuri pia rangi ya chakula kinakuwa pia nzuri
View attachment 3284126
Nyanya haitakiwi kuiva sana nikaweka mchele mchele usioshe mwanzo osha baada ya kuanza kupika kuna wengine wanaosha mchele kabla ata kuandaa mahitaji inapelekea mchele kukatika
View attachment 3284138
Baada ya hapo nikaweka supu ya nyama unaweza tumia maji ya kawaida ila mimi napenda kutumia supu
View attachment 3284141
Basi baada ya hapo nikafunika kuacha maji kauke ili niweke njegere baada ya kuona maji yamekauka nikaweka njegere
View attachment 3284151
Kisha nikafunika epuka kukologa kologa kuna watu wakipika watakologa kologa mpaka pilau linaonekana umetumia mchele wa chenga na kusingizia mchele mbaya la usikoroge basi baada ya muda nikafunua ili kuzichanganya
View attachment 3284160
Na nilipoona zimeiva vizuri nikaipua baada ya kuzichanganya niliziacha jikoni kwa muda
View attachment 3284164
Mnakaribishwa wotee nikatengeneza na kachumbari yangu hiyo
View attachment 3284171
Karibuni kwetu
View attachment 3284174
Mkuu hii view ni mkoa gani?Maeneo ya huko naweza pata hata nyumba ya kupanga?Nihamie kabisa😋Karibu utembee utojutia
Arusha mkuuMkuu hii view ni mkoa gani?Maeneo ya huko naweza pata hata nyumba ya kupanga?Nihamie kabisa😋
Hii mpyaUpike na la maharage..!!
Umepika vizuri sana ase hongera nafurahiMwachiluwi Dogo hatimae Leo nimepika pilau kwa mara ya Kwanza kwa kufuata ule mwongozo wako japo sijaweza kuweka njegere na viazi nimeona ni kazi ngumu kuviandaa
Asante Sana mkuu, nimejitahidi limeiva maana sikuwa na ujuzi wa kukadiria Moto wa kuivishia😄😄 ila nimekomaa nalo mpaka limeivaUmepika vizuri sana ase hongera nafurahi
Pole pole mkuu kingine kipi unataka kupikaAsante Sana mkuu, nimejitahidi limeiva maana sikuwa na ujuzi wa kukadiria Moto wa kuivishia😄😄 ila nimekomaa nalo mpaka limeiva
Kwa Leo ni hivi tu nakula na roast la nyama ila hilo amepika mdogo wangu mimi nimeshindwa, nilimwambia pilau ndo aniachie Mimi napkinPole pole mkuu kingine kipi unataka kupika
Natamani Sana kujua wanavyopika wali wa nazi, ila ziwe hizi nazi za dukani maana ndio rahisi kwa mtu kama mimiPole pole mkuu kingine kipi unataka kupika
Sion nakuleteaNatamani Sana kujua wanavyopika wali wa nazi, ila ziwe hizi nazi za dukani maana ndio rahisi kwa mtu kama mimi
Asee pongezi kwako mkuu,IPO cku nami ntajaribu kupika kama wwHello
Leo bhna tupike pamoja pilau la njegere
Kwanza niliandaa vitu vyangu mapema kabisa
Nikaanza na kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya hapo nikaweka kitunguu swahumu
View attachment 3284091
Baada ya hapo nikaweka nyama iliochemshwa nikaweka
View attachment 3284099
Kisha nikaweka kiungo cha pilau
View attachment 3284102
Nikachanganya ipasavyo kisha nikaweka viazi na kitunguu maji
View attachment 3284107Navyo kikavikaanga kwa muda kisha nikaweka karoti
View attachment 3284114
Baada ya hapo navyo nikachanga kuikaanga karoti nikaweka nyanya nyanya kwenye pilau inaleta radha mzuri pia rangi ya chakula kinakuwa pia nzuri
View attachment 3284126
Nyanya haitakiwi kuiva sana nikaweka mchele mchele usioshe mwanzo osha baada ya kuanza kupika kuna wengine wanaosha mchele kabla ata kuandaa mahitaji inapelekea mchele kukatika
View attachment 3284138
Baada ya hapo nikaweka supu ya nyama unaweza tumia maji ya kawaida ila mimi napenda kutumia supu
View attachment 3284141
Basi baada ya hapo nikafunika kuacha maji kauke ili niweke njegere baada ya kuona maji yamekauka nikaweka njegere
View attachment 3284151
Kisha nikafunika epuka kukologa kologa kuna watu wakipika watakologa kologa mpaka pilau linaonekana umetumia mchele wa chenga na kusingizia mchele mbaya la usikoroge basi baada ya muda nikafunua ili kuzichanganya
View attachment 3284160
Na nilipoona zimeiva vizuri nikaipua baada ya kuzichanganya niliziacha jikoni kwa muda
View attachment 3284164
Mnakaribishwa wotee nikatengeneza na kachumbari yangu hiyo
View attachment 3284171
Karibuni kwetu
View attachment 3284174