jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,475
- 11,470
Kama unahitaji pikipiki kwa usafiri binafsi au kubeba abiria chukua Haojue Express Plus au TVS 125
Na ukihitaji pikipiki ya kubebea mizigo shambani chukua Haojue 125 Mninga utafurahia usafiri wako, nimependekeza hizo kwasababu zifuatazo
1. Ni rahisi kuuza hata ukiwa umeitumia kwa mda mrefu
2. Ulaji mdogo wa Mafuta
3. Upatikanaji mzuri wa spea hadi vijijini
4. Mafundi everywhere
5. Bei yake ni rafiki 3M
Na ukihitaji pikipiki ya kubebea mizigo shambani chukua Haojue 125 Mninga utafurahia usafiri wako, nimependekeza hizo kwasababu zifuatazo
1. Ni rahisi kuuza hata ukiwa umeitumia kwa mda mrefu
2. Ulaji mdogo wa Mafuta
3. Upatikanaji mzuri wa spea hadi vijijini
4. Mafundi everywhere
5. Bei yake ni rafiki 3M