Chukua Haojue express au plus hutojutia, ni imara sana, mafuta zinanusa, nguvu kubwa inachanganya haraka sana (nyepes kwenye mwendo) na mafundi wapo wengi na used yake inauzika kwa urahis tofaut na zingine ila changamoto zake ni
1.mzito sana kama itakuzimikia sehemu labda imeisha mafuta kuikokota kwake eeeh utaomba poo
2. Tair ya nyuma nyembamba kiasi kwenye michanga inateleza sana,
3.Wanadai inabinua mukikaa mshkaki sehemu za miinuko ila hii yangu hilo sijawahi liona.