nakuunga mkono asilimia zote mkubwa kama walivyoelezea shule za kata kama kununua gari na kuanza kununua tairi, side mirror.nipo nyumbani naangalia star tv.kwa kweli hii show ni zaidi ya ile ya kitoto kutoka kwa kina masanja.
Tuwape support hawa jamaa
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwa kweli wale jamaa wanajitahidi,hata mimi huwa naburudika nikiangalianipo nyumbani naangalia star tv.kwa kweli hii show ni zaidi ya ile ya kitoto kutoka kwa kina masanja.
Tuwape support hawa jamaa
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwa kweli wale jamaa wanajitahidi,hata mimi huwa naburudika nikiangalia
Jamani wale sio jamaa ni vikatuni heh!
Jamani wale sio jamaa ni vikatuni heh!
Jamani wale sio jamaa ni vikatuni heh!