mbasamwoga
Member
- Jul 6, 2011
- 70
- 12
wabongo bwana wamezidi kuchakachua,
kutokana na watumiaji wa mawasiliano kwa njia ya mtandao kuongezeka, na matumiaji wengi ni wasomi hasa wale waliomaliza vyuo na wanatafuta kazi, sasa imekuwa balaa.
Kuna mitandao ya kibiashara inapachika matangazo feki ya ajira ili kuvutia watumiaji ili mtandao huo ujipatie umaarufu na kupata ulaji wa matangazo ya kibiashara. Ili wana jf wafike kwenyekurasa zao wanaweka kazi hizo feki kwa kutumia link za mitandao yao. Mara dar everything, mara people power zile kazi ni uongo mtupu.... Kama wanajf mnataka kuamini mtu mmoja ajaribu kwenda manualy kwenye hizo ofisi wanazodai zimetangaza ajira aone ataambiwa nini???
Hebu jiulize kama kweli ni kazi za ukweli kwanini kila siku ni hizo hizo bali wanabadili tarehe??
Kama kweli wanania njema ya kutujuza wanajf nafasi za kazi kwanini waweke link nyigine na sio tangazo halisi????
jamani msitumalizie visarafu vyetu kutuma maombi ya kazi feki...... Wala msitafute umaarufu kupitia jf!!!!!
kutokana na watumiaji wa mawasiliano kwa njia ya mtandao kuongezeka, na matumiaji wengi ni wasomi hasa wale waliomaliza vyuo na wanatafuta kazi, sasa imekuwa balaa.
Kuna mitandao ya kibiashara inapachika matangazo feki ya ajira ili kuvutia watumiaji ili mtandao huo ujipatie umaarufu na kupata ulaji wa matangazo ya kibiashara. Ili wana jf wafike kwenyekurasa zao wanaweka kazi hizo feki kwa kutumia link za mitandao yao. Mara dar everything, mara people power zile kazi ni uongo mtupu.... Kama wanajf mnataka kuamini mtu mmoja ajaribu kwenda manualy kwenye hizo ofisi wanazodai zimetangaza ajira aone ataambiwa nini???
Hebu jiulize kama kweli ni kazi za ukweli kwanini kila siku ni hizo hizo bali wanabadili tarehe??
Kama kweli wanania njema ya kutujuza wanajf nafasi za kazi kwanini waweke link nyigine na sio tangazo halisi????
jamani msitumalizie visarafu vyetu kutuma maombi ya kazi feki...... Wala msitafute umaarufu kupitia jf!!!!!