Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Asheri Mwaipopo ni mtangazaji wa TBC na amefunga Ndoa takatifu na Godliver David Yanga kwenye Kanisa la Baptist Kolosai huko Wilayani Tunduma Mkoani Songwe
Hili ni jibu la mtu wa aina ganiWataachana tu
Wataachana tu
Baada ya miaka 2 bwana harusi utasikia"Kugongewa ni kawaida" dah huwa nawaonea sanaa huruma wanaume wanao oa..!!!!Shindwa!!!!!
Wataachana tu wataachana tuuuAsheri Mwaipopo Ni mtangazaji wa TBC na amefunga Ndoa takatifu na Godliver David Yanga kwenye Kanisa la Baptist Kolosai huko Wilayani Tunduma Mkoani Songwe
View attachment 1913136
Hivi wewe ni shetani au wakili wake??.Wataachana tu
Kwa mapicha yotee haya utasikia "kugongewa ni kawaida" utasikia "kitanda hakizai haramu".
Ndoa BANA.
Nyie oeni sisis wengine TUTAOA kwa Mungu.
#YNWA
Baada ya miaka 2 bwana harusi utasikia"Kugongewa ni kawaida" dah huwa nawaonea sanaa huruma wanaume wanao oa..!!!!
#YNWA
Wataachana tu wataachana tuuu
Hivi ndivyo nilikuwa natest microphone mpaka nikafukuzwa kwenye sherehe
Hivi wewe ni shetani au wakili wake??.
Angalia post zao humu...Kwanini usimuwazie yaliyo mema!?
Angalia post zao humu...
1. Mara ""Dah mwanaume we hakikisha wanao wanakula huyo mwanamke achana na maisha yake""
2. Mara ""Kugongewa kawaida braza, kwani we mwanaume huchepuki?""
3. Utawasikia,"Akagongwe tu ila nisijue"
Ukitaka kujua ugumu wa ndoa chunguza kazini kwako yanayoendelea..!!!!
#YNWA
Mapungufu ya kugongwa nje?Pole Liverpool VPN
Ukitaka furaha ya ndoa muombe Mungu akupe mke wako halafu na wewe kuwa mume wake
Mapungufu madogodogo yanaweza kuwepo lakini furaha ninkubwa zaidi.
Mungu atusaidie
MhHongera kwao Asheri Mwaipopo na Godliver Yanga
Karibuni sana chama kubwa, chama la wenye mikataba ya maisha
Mungu aeliyewaunganisha aendelee kuwatunza 😍🙏
Mapungufu ya kugongwa nje?
#YNWA
Don't take it seriously mi nilikuwa natania tu ndo maana uliona emoji za kucheka kwenye post yanguVita ya ndoa ni kubwa sana. Yaani hata watu hawajaishi siku mbili wengine wanapanga kuwaachanisha
Mungu atusaidie